kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,877
soma habari sawasawa
unataka unisomee
soma habari sawasawa
Tumia akili wewe, kasome makala yake uielewe, Katumia lugha ya picha ambayo kama huna akili nzuri huwezi kuelewa kama wewe ulivyoingia mkenge. Ile makala yake imeitukana sana CCM na JK tatizo mnashindwa kumuelewa NyaronyoNaam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Lumumba wameuvaa uzi kichwakichwa teh teh teh
Safari njema Nyaronyo, huenda mtakuwa katika mahusiano mazuri na Kikwete, maana wiki iliyopita ulilalamika kuachwa katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba, licha ya kukidhi vigezo vyote
Mkuu soma vizuri, Jamaa amewakilisha kifasihi.
Naam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Tumia akili wewe, kasome makala yake uielewe, Katumia lugha ya picha ambayo kama huna akili nzuri huwezi kuelewa kama wewe ulivyoingia mkenge. Ile makala yake imeitukana sana CCM na JK tatizo mnashindwa kumuelewa Nyaronyo
mkuu we kubali tu kuwa haujaelewa kilicho andikwa ingawa unaweza kukisoma!
Huyu si alisema Kikwete anamchukia bila ya sababu? Kafuata nini tena huko CCM?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...cheere-kikwete-ananichukia-bila-sababu-3.html
![]()
Iyo ni kazi ya fasihi.Kuwa na akili kijanaNaam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Nimesoma post ya kwanza na nyingine kama nne hivi nikagundua kwamba watu huwa wanasoma heading na kuanza kuchangia! Kwenye hii post eti unakuta mtu anamini kwamba Nyaronyo kaenda CCM na kuuliza kafuata nini huko wakati alikuwa akiitukana!
Naam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Mkuuu tatizo ushabiki umezidi mno.....
hapo ndio utakapojua kua watu hawabishani kwa hoja bali ushabiki, mtu hajipi hata muda kusoma kimeandikwa nini anakurupuka tu na kupost.!