Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

Nani mwenye makala nzima anisaidie? Kwakweli nimeipenda. Huyu jamaa kuwaza vyema sana. Mwenye nayo hiyo makala, plz.
 
Kupitia uzi huu nimegundua kuna watu sitakiwi kubishana nao kwenye uzi wowote maana uelewa wao ni mdogo.Inawezekana watu wengine wanafikiriaga kwa kutumia ma------.
 
na mie nahamia ili nifanikishe dili zangu za abortions kitaani huku.ccm hoiiiiiiiiiii
 
nakubali sana makala za kicheere, sipati picha kkwete anavyoumiza kichwa kwa huyu jamaa.

Ni mtu makini sana anajiamini sana, ana watoto wazuri kweli ningekuwa sijaoa ningemuoa RHOBI au Tumaini, makala zake zina fasihi sana na ukiingia kichwakichwa utaweza kumuelewa.......... nakumbuka ndio aliyemtimua nchimbi jangwana.... Ukimuona yupo simple sana, nampenda sanaaaaaaaaaa.
 
Hana akili huyu kama hiyo ndio sababu.wizi na ufisadi ulioko nchini wewe unauunga mkono?kweli akili ni nywele.kila mtu ana zake
 
Sidhani kama CCM wanaweza kumpokea huyu hata wakipewa bure. Huyu ni mmoja wa waliomwandikia Rais KIMEMO cha kutaka ateuliwe kuwa Mjumbe wa Bunge la Katiba, taarifa zimevuja.

msg sent and delivery, weka kimemo hapa... ukishindwa utakuwa unarambishwa pipi.
 
:welcome::welcome::rockon::rockon::rockon::rockon::welcome::welcome:
 
Hahahahahahaa...


Kicheere huwa ananifurahisha sana na makala zake za kinyumenyume....
 

Mimi namuonea huruma sana maana, kimsitu cha Mabwe pande bado kinatisha sana.

huyu ni mkurya anajiamini na hagopi mtu, sio wa leo huyu ni siku sana na serikar inamjua, mpaka ubunge alishagombea.... muulize makwahiya, jenerali n.k... alishabadilisha jina akaitwa ridhiwani nilipenda sana makala yake.
 
Nimeipenda style hii ya kuinanga serikali na CCM, safi sana kamanda endelea kufikisha ujumbe kwa njia nyingine
Mwandishi Mahiri wa Makala na Mwanasheria wa Jijini Dar es Salaam Nyaronyo Mwita Kicheere amehamia CCM, kati ya sababu kubwa zilizomhamisha CHADEMA, anasema Viongozi wake hawana sura ya Tabasamu, tofauti na viongozi wa CCM, Kikubwa zaidi anasema ameamua kuipenda CCM kwa kuwa Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete ni mtu Rahimu, anayependa watu wake na kuwahurumia kutokana na magumu ya maisha, Juzi juzi ametangaza jinsi alivyopelekewa orodha ya majangili 40 wanaotikisa mbuga zetu lakini hakuwachukulia hatua yeyote kwa kuwa wanafanya ujasiriamali kujikimu na wanaweza kuwekeza. Nyaronyo amesema pia, anahamia CCM kwani kesho au keshokutwa akikamatwa na ngozi ya Chui, ya Mamba, au meno ya Tembo atapata msamaha kama wale 40 waliosamehewa na Kikwete.

Nyaronyo anasema, CHADEMA wangekuwa madarakani leo, ambao viongozi wao hawana tabasamu, akamtaja Mbowe Slaa, Lissu na Lwakatare nchi isingekalika, maana ni wazee wa visasi, maana Wezi wangekamatwa, watekaji wangesakwa, wauza dawa za kulevya wangekuwa wote gerezani.

Tena akaongeza kuwa hii si mara ya kwanza Kikwete kusamehe. Amesamehe Majangili 40, kama alivyosamehe wezi wa EPA, Nyaronyo anasema Tumshukuru Mungu kwa kuwa na Kikwete, Rais anayesamehe. = Chanzo gazeti la -----
 
Back
Top Bottom