Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

acha uzembe wewe,muda uliotumia kupost hii threat ungeutumia ko-google ukaona template za CV zikoje
 
Inategemea unataka CV ya kitu gani
Kuna
1: Simple CV (Resume) hii inatakiwa kueleza zaidi your experience and performance

2: Comprehensive CV hii inatakiwa kuwa na background yako....mahali unapoishi na physical address hata namba ya nyumba...wasifu wa kitaaluma...uzoefu wako katika kazi....kazi ulizokuwa ukifanya(duties)....utaalamu wako....sifa za ziada kama driving....mafunzo ya ziada kama rescueing training....wadhamini wako n.k

3: Pia kuna Fresh Graduate CV
Hii ni lazima referee awe lecturer au Prof wako....unaweza kuweka GPA....na hata baadhi ya Training na masomo ku-match kazi unayoomba.
Hapa unajitahidi tu kwenye sifa za ziada kam kujua lugha nyingi,driving hata kuonyesha passport number n.k....
Asante.....
 
Samahani wanajf najua hii mada imezungumzwa sana hapa lkn nimejaribu kuitafuta ila sijaipata, naombeni mwenye ujuzi anitajie vitu muhimu vya kuzingatia wakati wa kuandika CV, naombeni msaanda wenu nimekwama jamani.
 
Najua unatujaribu uzalendo wetu...

1. Personal Details
Jina
Sex
D.O.B and P.O.B
Contacts zote simu, box, email, etc
Unaweza ongeza kama Martial Status, Nationality etc

2. Education Background:
Andika ulikosomea, ukianza na elimu yako ya mwisho kabisa. Mfano umemaliza chuo sasa hivi (2013), Basi anza na hiko chuo, kisha shule kabla hujaingia iko chuo etc hadi shule ya msingi inakua chini kabisa.

pia kila uliposoma ni vema ukiandika mwaka na mwezi ulivyoanza hadi ulivyo maliza (kama utakumbuka na tarehe vema zaidi). Pia andika ulichopata (awards).

Cheki mfano huu:

dateinstitutionawards
october 2010-march 2012SIJUI NINI UniversityBA in Sanaa
january 2008-februaly 2010matoke secondary schoolACSEE
Jan 2004 - october 2007wavulana secondary schoolcsee

Wengi wanapendea kuweka katika table ila ata vingine sawa tu.

4. Work Experience.
Tupia sehemu ulizo wahi kufanya kazi, muda ulio fanya kazi na cheo chako bila kusahau majukumu yako ya kazi. anza na kazi ya hivi karibuni ukirudi nyuma. kama hapo juu kwenye education. hapa sio muhimu/usiweke table.

NB: Ni muhimu sana kuandika duties and responsibilities zako ulipokua unafanya kila kazi.

5. Publications/projects

kama umeshawahi kuandika project na kuirelease mtandaoni au kabidhi some where, andika hapa jina la hiyo project (title), ulipo submit, tarehe, etc


6. Other Skills and Activities.

Andika vitu unavyo jivunia wewe binafsi ambavyo unaweza usiwe na vyeti vyake au unavyo. mfano: udereva, kompyuta, problem solving skills, comunication skills, leadership, kama unajua lugha kibaaaao andika, etc


7. Referees

Andika majina ya watu wa3 ambao itakua rahisi muajiri wako kuwasiliana nao ili kupata taarifa zako. wanaweza kua maboss wako, mwalimu wako, wafanyakazi wenzako etc. pendelea kuandika wale watu ambao mnaingiliana katika mambo ya kazi, sio unaandika mke wako, shemeji yako, baba yako etc ata kama ana hela sana ila usimweke.

Weka hivi:

Jina lake
Cheo
Anuani yake (posta, namba za simu na email)


Kumbuka CV ina badirika badirika kutokana na matakwa ya kazi iliotangazwa, so uwe unai update kila unavyoomba kazi mpya.

Pia kuna format kibao za kuandika CV so wadau wanaweza kuongeza zingine hapa.

mwisho, pendelea kutumia GOOGLE, haijawahi shindwa kitu.


 
Najua unatujaribu uzalendo wetu...

1. Personal Details
Jina
Sex
D.O.B and P.O.B
Contacts zote simu, box, email, etc
Unaweza ongeza kama Martial Status, Nationality etc

2. Education Background:
Andika ulikosomea, ukianza na elimu yako ya mwisho kabisa. Mfano umemaliza chuo sasa hivi (2013), Basi anza na hiko chuo, kisha shule kabla hujaingia iko chuo etc hadi shule ya msingi inakua chini kabisa.

pia kila uliposoma ni vema ukiandika mwaka na mwezi ulivyoanza hadi ulivyo maliza (kama utakumbuka na tarehe vema zaidi). Pia andika ulichopata (awards).

Cheki mfano huu:

dateinstitutionawards
october 2010-march 2012SIJUI NINI UniversityBA in Sanaa
january 2008-februaly 2010matoke secondary schoolACSEE
Jan 2004 - october 2007wavulana secondary schoolcsee

Wengi wanapendea kuweka katika table ila ata vingine sawa tu.

4. Work Experience.
Tupia sehemu ulizo wahi kufanya kazi, muda ulio fanya kazi na cheo chako bila kusahau majukumu yako ya kazi. anza na kazi ya hivi karibuni ukirudi nyuma. kama hapo juu kwenye education. hapa sio muhimu/usiweke table.

NB: Ni muhimu sana kuandika duties and responsibilities zako ulipokua unafanya kila kazi.

5. Publications/projects

kama umeshawahi kuandika project na kuirelease mtandaoni au kabidhi some where, andika hapa jina la hiyo project (title), ulipo submit, tarehe, etc


6. Other Skills and Activities.

Andika vitu unavyo jivunia wewe binafsi ambavyo unaweza usiwe na vyeti vyake au unavyo. mfano: udereva, kompyuta, problem solving skills, comunication skills, leadership, kama unajua lugha kibaaaao andika, etc


7. Referees

Andika majina ya watu wa3 ambao itakua rahisi muajiri wako kuwasiliana nao ili kupata taarifa zako. wanaweza kua maboss wako, mwalimu wako, wafanyakazi wenzako etc. pendelea kuandika wale watu ambao mnaingiliana katika mambo ya kazi, sio unaandika mke wako, shemeji yako, baba yako etc ata kama ana hela sana ila usimweke.

Weka hivi:

Jina lake
Cheo
Anuani yake (posta, namba za simu na email)


Kumbuka CV ina badirika badirika kutokana na matakwa ya kazi iliotangazwa, so uwe unai update kila unavyoomba kazi mpya.

Pia kuna format kibao za kuandika CV so wadau wanaweza kuongeza zingine hapa.

mwisho, pendelea kutumia GOOGLE, haijawahi shindwa kitu.



Asante sana kaka Na pole kwa muda uloutumia lkn umenipa msaada mkubwa mno, naanza kufanyia kazi sasa
 
C.V nzuri ni kama vile tittle kwenye project proposal, ili granters waweze kukupa fund inabidi title iwe clearly and precisely..
 
WHAT MAKES A GOOD CV?Preparation is everything when applying for a new role. BABA GK company has developed some guidelines to help you write a CV.

The Importance of a Great CV
• To introduce and differentiate yourself and your skills
• Your CV is your own personal marketing tool and is your first step in giving the opportunity to evaluate your suitability for an interview
• To pick out your competence in key areas against the job profile
• To present your professional record, including accurate abilities and achievements

Most CVs will include the following sections:
• Full name and contact details (include both work and personal emails)
• Personal profile• Employment history in reverse chronological order
• Education, qualifications and professional development
• Additional information
Top Tipssimple and your spelling and grammar are perfect!CV ExampleYOUR FULL NAMEHouse Name/Number, Street Name, City, CountryTel: 000 000 | Mobile: 1234 5678 | mzeebake@email.comPROFILE [OPTIONAL]________________________________________________________________________
_ This is 2-3 sentences or a few bullet points, highlighting clearly your key skills and experience These points should reflect those required for the role you are applying for so you may want to tailor for each roleExample

• A development professional with over 15 years experience performing in [insert major work areasand job strengths]• Proven ability to [insert skills related to job role]

• Extensive knowledge of [insert knowledge related to job role]

• Specialist in [insert skills or knowledge that is your own unique selling point]

PROFESSIONAL EXPERIENCE
If you have a long work history, you may like to summarise sections, providing details on only your most recent and relevant roles.
 Include the year and month starting from your most recent experience
 Highlight your actual position title
 Write a brief description of your main responsibilities including line management and professionaldevelopment responsibilities
 Note any special achievements or initiatives undertaken
 Use action verbs to include statements of responsibility e.g. led, managed, oversaw, developed, designed,created, coordinated, negotiated, served, analysed, performed, supervised, conducted, introduced,implemented, started, sold, integrated, automated, built, installed, refined, deployed.
 Try to include sample statements in the format below. If possible explain your task and the resultingachievement. Also try to quantify results if possible.
Example:AAA Company, BBB Country May 2005 - PresentJob Title

• Led the strategic development and management of AAA’s humanitarian, development andadvocacy/campaigning programme in BBB Country
• Overall responsibility for 250 employees in nine field and coordination offices across fiveProvinces, as well as a budget responsibility of GBP 13 million.
• Represented AAA at various high level fora both inside BBB Country (up to President CCC) andinternationally (high-level lobbying in Washington and London).
• Resolved issue of country office finance crisis from being GBP100,000+ in debt, attainingfinancial stability in less than 12 months.

BBB Company, CCC Country Jan 2001 - May 2005Job Title• Responsible for…

• Led the implementation of …

EDUCATION AND QUALIFICATIONS

 List your education and academic achievements to date in reverse chronological order including qualifications and grades achieved, and the year achieved

 As your work experience increases you should put less emphasis on your education and achievements andmore on work experience

 If you left university/educational establishment a number of years ago, summarise your educationalqualifications and highlight more recent and relevant qualifications.

Example:AAA University 1995-1996MSc in Development Practice[insert additional info such as publications, scholarships, awards]

PROFESSIONAL DEVELOPMENT

 Include key relevant courses from the last five yearsExample:• MZEE BAKE TZ Leadership Development Programme June 2008LANGUAGES
 Indicate the level of language ability e.g. Bi-lingual, Fluent, Good comprehension, BasicExample:• Very fluent speaker of Swahili
• Basic written Mandarin

ANY ADDITIONAL INFORMATION

 Your opportunity to include any other material that will help the recruiting manager gain more useful information about you , e.g. positions of responsibility in and outside of work, other relevant skills or experience INTERESTS AND ACTIVITIES
 Optional. If you decide to include, do make your interests interesting!Developed by Global HR, MZEE BAKE, November 2011
 
Samahani wanajf najua hii mada imezungumzwa sana hapa lkn nimejaribu kuitafuta ila sijaipata, naombeni mwenye ujuzi anitajie vitu muhimu vya kuzingatia wakati wa kuandika CV, naombeni msaanda wenu nimekwama jamani.

MKuu kuna aina tatu za CV na zote zinategemea na ujuzi, elimu na umri ulionao. Kama ukinieleza kwa ufupi sana kuhusiana na hayo mambo matatu nitakueleza ni aina gani ya CV itakufaa na itajikuuza vizuri. Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom