mzee wa wazee
Member
- Nov 1, 2010
- 70
- 18
Invisible, heshima zote zikufikie kwa kujitoa mhanga kwenye hili, ombi langu usiishie tu huko come in public tuko wengi wenye kuguswa na hili jambo. Wameshindwa kuilea nchi yetu bora tuilee wenye machungu nayo ili vizazi vijavyo viwezetuona tuna akili