umenena. mixer ndizi humoMchemsho ndio bora zaidi
Huyu ni Anaconda kwetu hapa Tanzania na Africa hatuna ila kwa hapa Africa nyoka mkubwa zaidi karibia na huyu ni rock python ambaye analiwa sana na watu wa Iringa, baadhi ya sehemu za Mbeya mpakani na Iringa, Uganda, Nigeria, Cameroon, Togo, Ghana, RDC.
Hahhahaaaaaa Khantwe usijali kabisa najua heading imekuchanyanga lakini kumbuka nyama nyingi za samaki wa kopo ni hii mijamaa
Ngoja nitafute njia ya kujitapisha mkuu kwani kwa mujibu wa maelezo yako nina uhakika ninao wengi sana hao tumboni mwangu.
Shauri yenu mnaokula....usinokoti sitaki kurudi tena hapa
Niliwahi kula chatu zambia bila kujua, niliambiwa after 3days kwamba was Rock python
kinywaji sasaNa pilipili manga kwa mbaali