RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
West africans wanakula kila kitu, hawana options. Sisi tuna options.Kweli nimeona Senegal mkuu
West africans wanakula kila kitu, hawana options. Sisi tuna options.Kweli nimeona Senegal mkuu
Hawa jamaa hawana tofauti na dog. WAcheki, utaelewa ninachomaanisha.Ama wanasema tembea uone mengi na never say never. Wakati sehemu nyingi katika bara la Africa tunawachukulia popo kama viumbe vinavyohusishwa na imani za kishirikina na hata muonekano wake tu ni wa kuogofya kwa baadhi ya watu, katika baadhi ya maeneo ya bara la Asia kama Indonesia, mnyama huyu anatumika kama kitoweo maridhawa kabisa hususan wale wnaoitwa fruit bats,unaambiwa ni watamu mithili ya kuku sekela. View attachment 785503View attachment 785505View attachment 785506View attachment 785507View attachment 785509View attachment 785510View attachment 785512
Popo ni mnyamaHapana kwa kweli, sio kila ndege lazima aliwe.
Ila kiukweli mamba ni habari nyingine hata mkuu wa meza haingiiPoop, nyani, nyoka, mamba ni kitoeo kizuri katika baadhi ya sehemu. Haya ndiyo yalimifanya nishindwe kuolewa West Africa
Nan popo?Hawa jamaa hawana tofauti na dog. WAcheki, utaelewa ninachomaanisha.
Utamu mkuuSasa kama wamakonde wanakula panya!! kwani panya ana tofauti gani na popo?
Kweli dada wee ulowa hapa hapa tu, huko kwingine unaweza kulishwa hadi machavichavi na popo tena popo mwenyewe popo bawaPopo, nyani, nyoka, mamba ni kitoeo kizuri katika baadhi ya sehemu. Haya ndiyo yaliyonifanya nishindwe kuolewa West Africa
Mmmmmh!! umetuvalisha miwanPopo, nyani, nyoka, mamba ni kitoeo kizuri katika baadhi ya sehemu. Haya ndiyo yaliyonifanya nishindwe kuolewa West Africa
Kwani popo ni ndege?Hapana kwa kweli, sio kila ndege lazima aliwe.
kuolewa na kula hayo majitu kuna uhusiano gani? mademu wa Bongo bwana full mashauziPopo, nyani, nyoka, mamba ni kitoeo kizuri katika baadhi ya sehemu. Haya ndiyo yaliyonifanya nishindwe kuolewa West Africa
Hahahahaaa! Kwa hiyo mimi nile popo? Astaghifilullah!Meno huli mkuu, unayatoa kama miba ya samaki
Chama cha Mumiani CCM hawachagui kitu cha kula, wanafyala tuEbola njenje. Halafu hiyo mimeno nani ale?