donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,071
- 21,547
Ama wanasema tembea uone mengi na never say never. Wakati sehemu nyingi katika bara la Africa tunawachukulia popo kama viumbe vinavyohusishwa na imani za kishirikina na hata muonekano wake tu ni wa kuogofya kwa baadhi ya watu, katika baadhi ya maeneo ya bara la Asia kama Indonesia, mnyama huyu anatumika kama kitoweo maridhawa kabisa hususan wale wnaoitwa fruit bats,unaambiwa ni watamu mithili ya kuku sekela.