Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Nyamgluu, watazame wa genious wa ukweli, angalia life style zao, angalia dressing zao, angalia smartnes zao utanotice kuna jambo!. Wengi mnamfahamu Profesa Shaba!. Kwanza ma genius wengi wa ukweli, hawanaga maisha marefu!.
Nikiwa Tambaza tulikuwa na genius wetu akiitwa Nia Sudi, jamaa alitoka familia duni akiishi Msasani Mkikoroshini nyumba ya udango, haina umeme, alikuwa hasomi mwalimu akifundisha yeye alikuwa akitetemesha tuu mguu, mtihani wa form VI, alipiga point 7 na alikuwa na A-9!, akachaguliwa Kibaha na safari yake ikaishia pale!, kwanza alichanganyikiwa, then aliugua and passed away! RIP NIA SUDI!.
Kuna vipanga wengine wawili hapo hapo Tambaza waliokuwa mbele yetu, Mustapha Kudra na Elhanan Elirehema Mushi, wote hawa walimazina form VI na point 7, by now lazima wangekua mahali visible, ukiserch, hukuti feed back yoyote kwenye majina yao in such a way one is not sure if they are still alive!.
Kuna familia moja ya kigogo maarufu nchini, ilikuwa ikiishi pale anapoishi VP. Watoto wa 6 wa familia hiyo wote ni vipanga, mkubwa alisoma Tambaza, akatoka na I ya 7 o-level na 1 ya 3 A level, akaripoti UDSM, he died on the car accident akiwa mwaka wa 2!. Mdogo mtu wa kike alipiga Medicine Muhimbili, akajiua akiwa mwaka wa 4!. Waliomfuatia wawili ni wakike mmoja kwa sasa ni Daktari na Mkurugenzi wa taasisi muhimu nchini na mdogo mtu ni Jaji wa Mahakama Kuu. Last born wao ni mvulana he died misyterious death at the age of twenties!. Familia hiyo ina bahati mbaya kwani mzee huyo ana mtoto mkubwa wa kiume aliyezaa nje ya ndoa, I'm not very sure kama ni mzima upstairs!.
Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.
Pasco.
Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.
Pasco.
Kuzira without any justfiable reasons, its a part of insanity!. People do differ a lot, wengine grows up after 14 years they are not kids anymore, others grows up at 60!.Honky tonky guy.......sasa hivi kaiziria kabisa JF
sorry it was an oversight!.Mkuu mbona ''MHEMEDI'' umemuwacha?
Anafanya kazi Usalama huyo itakua.
Mkuu mbona ''MHEMEDI'' umemuwacha?
shauri yako, utawaskia
Please wasiliana na ndugu zake. Jibu lipo. Sisi ni mashahidi wa mambo hayo. Apelekwe kwenye makanisa ya walokole ataombewa na kupona. Mimi napendekeza apelekwe kwa Kakobe au kanisa lililo karibu.
Anafanya kazi Usalama huyo itakua.
Anafanya kazi Usalama huyo itakua.
Nakumbuka wakati wa Nyerere walianza walokole wanajidai kuombea watu, Nyerere kama anavyojulikana alikuwa Mkatoliki swafi kabisa, akawaambia kama kweli si muende Muhimbili na Ocean Road kuna wagonjwa wengi yanini mnakaa na kupiga kelele Mnazi Mmoja. Hawajaonekana tena mpaka Nyerere anachia ngazi.
Kwanini kama wapo hao waombaji na wanafanya kweli wasiende kupunguza msingamano wa wagonjwa mahospitalini?
Hajalogwa kweli huyo??,
Duu Mkuu Upanga, umenikumbusha mbali, sikujua Prudence ni RIP!, mara ya mwisho alikuwa Mkurugenzi halmashauri fulani Moro!. Issa Juma alikuwa Tanesco Atu na Ambwene walikuwa bank!. Those good old days, wee acha tuu!.PASCO umenikumbusha mimi nilisoma na NIA SUDI wewe ukiwa form 3 T baada ya kutoka form one na 2 ukiwa Z.
Darasa lote la form 3M lilikuwa vipanga wa kuotea mbali,hata hviyo kama unavyo nukuuu majority ended up
nowhere na hii kama unavyo kumbuka Mwl Kalimuna alitaka form 4 M yote ibaki palepale Tambaza baada ya darasa zima kuwa limefaulu kwa kiwangu cha juuu kabisa na ninaamini haijawawi tokea tena ufaulu ule,cha ajabu alipigwa mizengwe
huo mpango ukaishia hapo.Kumbuka ile timu ya ISSA JUMA,ATUBONE,KENETH,JONATHAN HAULE (AFISA) Prudecence Angello(R.I.P)AMBWENE just to mention a few.Kweli vipanga huwa wanaishia patupu
Mfalme Suleman aliomba kwa Mungu kama hivi: (Usinipe utajiri hata nikakukufuru, usinipe umasikini hata watu wasiokujua wakakudhihaki. naomba unipe hekima nijue namna ya kuingia na kutoka kwa watu wako hawa ulionipa niwaongoze). Kumbe lilikuwa goli la kisigino, Mungu akampa hekima, na zidi ya hapo na utajiri juu. Akatesa na vimwana rasmi 700 pamoja na viconcubine 1000, akila ng'ombe 40 na mbuzi 100 kwa uchache kila siku. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Hajatokea tajiri kama yeye hata leo, twaambiwa hatokei tena ng'o! Ndo maana twaambiwa tunateseka sababu hatujui kuomba, na kama tunaomba basi twaomba vibaya ili tukipata tutumie kwa hila, basi Mungu akituangalia anatuhurumia na kutuepushia hayo mabaya kwa kutotupatia tutakavyo. "Eee Bwana tufundishe kuomba"- tusipojua udhaifu wetu na kushika adabu tukakubali kufunzwa kama mitume walivyoomba, tutaendelea kukatwa vichwa kadiri tunavyoinuka. Vita yetu sio ya mwili na damu bali ni vita ya ulimwengu wa rohoni, ambavyo anayevweza ni Mungu tu! Mfalme wa giza hataki tutese duniani mara mia kisha uzima wa milele, maana raha hiyo anaijua na amekataliwa kuipata tena!!!!Nyamgluu, watazame wa genious wa ukweli, angalia life style zao, angalia dressing zao, angalia smartnes zao utanotice kuna jambo!. Wengi mnamfahamu Profesa Shaba!. Kwanza ma genius wengi wa ukweli, hawanaga maisha marefu!.
Nikiwa Tambaza tulikuwa na genius wetu akiitwa Nia Sudi, jamaa alitoka familia duni akiishi Msasani Mkikoroshini nyumba ya udango, haina umeme, alikuwa hasomi mwalimu akifundisha yeye alikuwa akitetemesha tuu mguu, mtihani wa form VI, alipiga point 7 na alikuwa na A-9!, akachaguliwa Kibaha na safari yake ikaishia pale!, kwanza alichanganyikiwa, then aliugua and passed away! RIP NIA SUDI!.
Kuna vipanga wengine wawili hapo hapo Tambaza waliokuwa mbele yetu, Mustapha Kudra na Elhanan Elirehema Mushi, wote hawa walimazina form VI na point 7, by now lazima wangekua mahali visible, ukiserch, hukuti feed back yoyote kwenye majina yao in such a way one is not sure if they are still alive!.
Kuna familia moja ya kigogo maarufu nchini, ilikuwa ikiishi pale anapoishi VP. Watoto wa 6 wa familia hiyo wote ni vipanga, mkubwa alisoma Tambaza, akatoka na I ya 7 o-level na 1 ya 3 A level, akaripoti UDSM, he died on the car accident akiwa mwaka wa 2!. Mdogo mtu wa kike alipiga Medicine Muhimbili, akajiua akiwa mwaka wa 4!. Waliomfuatia wawili ni wakike mmoja kwa sasa ni Daktari na Mkurugenzi wa taasisi muhimu nchini na mdogo mtu ni Jaji wa Mahakama Kuu. Last born wao ni mvulana he died misyterious death at the age of twenties!. Familia hiyo ina bahati mbaya kwani mzee huyo ana mtoto mkubwa wa kiume aliyezaa nje ya ndoa, I'm not very sure kama ni mzima upstairs!.
Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.
Pasco.
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mwanamke mrembo sana akiitwa Bathsheba, aliyekuwa ni mke wa jemedari wake mkuu aitwae Uria, ili ampate Bathsheba, akampanga njama za kumuua, akamtuma vitani ili afe, kweli Uria akauliwa vitani, huku nyuma Daudi naye kujitwalia huyo mjane wa Uria, Bathsheba na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!.Mfalme Suleman aliomba kwa Mungu kama hivi: (Usinipe utajiri hata nikakukufuru, usinipe umasikini hata watu wasiokujua wakakudhihaki. naomba unipe hekima nijue namna ya kuingia na kutoka kwa watu wako hawa ulionipa niwaongoze). Kumbe lilikuwa goli la kisigino, Mungu akampa hekima, na zidi ya hapo na utajiri juu. Akatesa na vimwana rasmi 700 pamoja na viconcubine 1000, akila ng'ombe 40 na mbuzi 100 kwa uchache kila siku. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Hajatokea tajiri kama yeye hata leo, twaambiwa hatokei tena ng'o! Ndo maana twaambiwa tunateseka sababu hatujui kuomba, na kama tunaomba basi twaomba vibaya ili tukipata tutumie kwa hila, basi Mungu akituangalia anatuhurumia na kutuepushia hayo mabaya kwa kutotupatia tutakavyo. "Eee Bwana tufundishe kuomba"- tusipojua udhaifu wetu na kushika adabu tukakubali kufunzwa kama mitume walivyoomba, tutaendelea kukatwa vichwa kadiri tunavyoinuka. Vita yetu sio ya mwili na damu bali ni vita ya ulimwengu wa rohoni, ambavyo anayevweza ni Mungu tu! Mfalme wa giza hataki tutese duniani mara mia kisha uzima wa milele, maana raha hiyo anaijua na amekataliwa kuipata tena!!!!