Mmh tracking inasemaje?
Mmh tracking inasemaje?
Fafanua kidogo kuhusu register na vipi kama nikitumia DHL wataweza kuniletea mzigo mpka mwanza au lazima nikauchukulie DarKuna mizigo ya aina mbili
Ukiwa ni register hulipii kama sio register unalipia..mimi sijawahi kulipia zaidi ya elfu 5
Alibaba ni mwizi neno la kichinaMimi nataka kununua Vitu alibaba vipi unaweza nisaidia?
hapana bado ..Umeshapokea mzigo
Umechukua hatua sahihihapana bado ..
na nimejaribu kucheck kwenye website ya posta kuna huduma ya kutrack mzigo wako kama umefika inaonekana hakuna info yoyote kwamba labda ulishafika pale.
nilimtafuta yule seller mmojawapo naona ni waelewa wamesema watatuma tena ila mmoja nime open dispute waweze kuni refund.
mmoja wapo huyu hapaUmechukua hatua sahihi
Ndio mkuu inawezekanaHizi inawezekana kwny platform hizo tukauza bithaa zetu?