fokofu
Member
- Oct 17, 2012
- 68
- 74
SIRI ILIYOJIFICHA KWENYE MTANDAO WA EBAY NA JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA.
Ebay?
Ndiyo ni Ebay!!!
Natumai umeshawahi kusikia au kukutana na kitu
kinaitwa EBAY katika makala hii nitakupa siri
iliyojificha kwenye mtandao wa EBAY na
nitakufundisha jinsi ya kutumia EBAY kutengeneza
pesa na jinsi gani unaweza ukapata bidhaa kama
simu na nyinginezo za matumizi binafsi kwa bei
rahisi
Ebay ni nini?
Ebay ni mtandao wa kimarekani unaokutanisha
wauzaji na wanunuzi wa bidhaa mbalimbali kama
simu,laptop,saa,nguo,viatu na n.k
Ni mtandao ambao unamuwezesha mnunuzi kuweza
kununua bidhaa mtandaoni bila ya kuonana ana kwa
ana na muuzaji.
JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA
1. kwa kununua kwa bei ndogo kutoka USA kisha
kuja kuuza kwa bei kubwa huku bongo.
Katika mtandao wa EBAY unapata bidhaa kama simu
kwa bei rahisi sana na unachofanya ni kununua
kutoka ebay na kuja kuziuza huku bongo kama
unavyoona hapo kwenye picha IPHONE 6 PLAIN
unapata kwa 105,000/= so unaweza kununua kwa
105,000 na kuja kuziuza kwa 180,000/= mpaka
200,000/= hapo unatengeneza faida ya kati ya
75,000/= mpaka 95,000/=
2. HII INA FAIDA ZAIDI ( kwa kununua simu mbovu na kuzitengeneza) INAHITAJI MZOEFU
Hii ni njia ninayoitumia kutengeneza faida kubwa
huwa nanunua simu zenye shida ndogo kama
zilizopasuka vioo na shida nyingine ndogo ndogo
ambazo zinatengenezeka kama mnavyojua wenzetu
waliopo majuu huwa hawatumii kitu mpaka kichoke
sana na wengi wao huwa hawamini kupeleka simu
kwa fundi mfano simu ikidondoka na kuweka
kampasuko kidogo kwa mzungu hiyo haifai tena
huwa wanaziuza kupitia mtandao wa EBAY na huwa
zinauzwa kwa bei ndogo sana mfano angalia picha
za IPHONE 8 ambayo naweza kununua kwa 200,000
kama mnavyoona kwenye picha namba 3 na 4 na
nikairekebisha kioo ambacho bei haizidi 40,000
mimi nakuja kuiuza kuanzia 300,000/= mpaka
400,000/= na kwa jinsi inavyoonekana kwenye picha
naweza nikaiuza hivyo hivyo bila ya kuirekebisha
maana crack yake ni ndogo sana.
NIMETUMIA MFANO WA SIMU MAANA NI RAHISI
ILA EBAY UNAWEZA UKANUNUA CHOCHOTE VITU
KAMA LAPTOP, SAA,NGUO, PLAYSTATION,
PRINTER,TV N.K
PIA NIMETUMIA EBAY MAANA NI MTANDAO
RAHISI KUTUMIA LAKINI UNAWEZA UKATUMIA
MITANDAO KAMA ALIEXPRESS, AMAZON, BESTBUY,
WALMART, SWAPPA, ALIBABA NA N.K
NAJUA BADO UNA MASWALI MENGI KICHWANI
1.Nitawezaje kufanya malipo?
2. Nitawezaje kuisafirisha kutoka marekani?
3. Siwezi kutapeliwa?
4. Mzigo unachukua siku ngapi kufika?
5. Jinsi ya kujaza anuani yangu?
6. Muuzaji hatumi mzigo bongo?
7. Bei ya kusafirisha kubwa?
SIWEZI KUANDIKA KILA KITU HUMU KWA MSAADA
ZAIDI UNAWEZA UKAKOMENTI, UKANICHEKI INBOX
NITAKUFUNDISHA STEP BY STEP PIA USISAHAU
KULIKE PAGE YANGU ILI USIKOSE MAKALA NYINGI
ZAIDI
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0777821974 (call & whatsapp)
Ebay?
Ndiyo ni Ebay!!!
Natumai umeshawahi kusikia au kukutana na kitu
kinaitwa EBAY katika makala hii nitakupa siri
iliyojificha kwenye mtandao wa EBAY na
nitakufundisha jinsi ya kutumia EBAY kutengeneza
pesa na jinsi gani unaweza ukapata bidhaa kama
simu na nyinginezo za matumizi binafsi kwa bei
rahisi
Ebay ni nini?
Ebay ni mtandao wa kimarekani unaokutanisha
wauzaji na wanunuzi wa bidhaa mbalimbali kama
simu,laptop,saa,nguo,viatu na n.k
Ni mtandao ambao unamuwezesha mnunuzi kuweza
kununua bidhaa mtandaoni bila ya kuonana ana kwa
ana na muuzaji.
JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA
1. kwa kununua kwa bei ndogo kutoka USA kisha
kuja kuuza kwa bei kubwa huku bongo.
Katika mtandao wa EBAY unapata bidhaa kama simu
kwa bei rahisi sana na unachofanya ni kununua
kutoka ebay na kuja kuziuza huku bongo kama
unavyoona hapo kwenye picha IPHONE 6 PLAIN
unapata kwa 105,000/= so unaweza kununua kwa
105,000 na kuja kuziuza kwa 180,000/= mpaka
200,000/= hapo unatengeneza faida ya kati ya
75,000/= mpaka 95,000/=
2. HII INA FAIDA ZAIDI ( kwa kununua simu mbovu na kuzitengeneza) INAHITAJI MZOEFU
Hii ni njia ninayoitumia kutengeneza faida kubwa
huwa nanunua simu zenye shida ndogo kama
zilizopasuka vioo na shida nyingine ndogo ndogo
ambazo zinatengenezeka kama mnavyojua wenzetu
waliopo majuu huwa hawatumii kitu mpaka kichoke
sana na wengi wao huwa hawamini kupeleka simu
kwa fundi mfano simu ikidondoka na kuweka
kampasuko kidogo kwa mzungu hiyo haifai tena
huwa wanaziuza kupitia mtandao wa EBAY na huwa
zinauzwa kwa bei ndogo sana mfano angalia picha
za IPHONE 8 ambayo naweza kununua kwa 200,000
kama mnavyoona kwenye picha namba 3 na 4 na
nikairekebisha kioo ambacho bei haizidi 40,000
mimi nakuja kuiuza kuanzia 300,000/= mpaka
400,000/= na kwa jinsi inavyoonekana kwenye picha
naweza nikaiuza hivyo hivyo bila ya kuirekebisha
maana crack yake ni ndogo sana.
NIMETUMIA MFANO WA SIMU MAANA NI RAHISI
ILA EBAY UNAWEZA UKANUNUA CHOCHOTE VITU
KAMA LAPTOP, SAA,NGUO, PLAYSTATION,
PRINTER,TV N.K
PIA NIMETUMIA EBAY MAANA NI MTANDAO
RAHISI KUTUMIA LAKINI UNAWEZA UKATUMIA
MITANDAO KAMA ALIEXPRESS, AMAZON, BESTBUY,
WALMART, SWAPPA, ALIBABA NA N.K
NAJUA BADO UNA MASWALI MENGI KICHWANI
1.Nitawezaje kufanya malipo?
2. Nitawezaje kuisafirisha kutoka marekani?
3. Siwezi kutapeliwa?
4. Mzigo unachukua siku ngapi kufika?
5. Jinsi ya kujaza anuani yangu?
6. Muuzaji hatumi mzigo bongo?
7. Bei ya kusafirisha kubwa?
SIWEZI KUANDIKA KILA KITU HUMU KWA MSAADA
ZAIDI UNAWEZA UKAKOMENTI, UKANICHEKI INBOX
NITAKUFUNDISHA STEP BY STEP PIA USISAHAU
KULIKE PAGE YANGU ILI USIKOSE MAKALA NYINGI
ZAIDI
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0777821974 (call & whatsapp)