Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Hawa masyrcard ndo akina nani mkuu
tujuzane
Hawa masyrcard ndo akina nani mkuu
Pole sanaNdio imekamilika Kiongozi,
Alafu pia Hii Dtb prepaid Master Card ni Kwa ajili ya kufanya Malipo Mtandaoni Ipo special Kwa ajili ya Kazi hiyo lakini nashangaa why inagoma
Itabidi nitafute Card ya Equity naona wengi wanawasifia wapo vizuri kwenye kufanya Malipo online
Pole sana naona uzi wako upi ziii,Wadau wa JF za jioni . Napenda kujua au kupata uhakika kwa wale ambao ummekisha agiza mzigo wowote toka AliExpress hapa tanazania unakufikia kwa muda gani. Na changamoto ambazo zinapatikana katka kuupata mzaigo!?
Aise kaka ni kweli mimi nina order zangu za tangu December mpaka leo march inakatikaa sijapata taarifa ya kufika mzigo wangu. Sellers wameniongezea protection period mara mbiliPole sana naona uzi wako upi ziii,
Anyway,
Muda wa kufika mzigo unategemea, aina ya shipping. Ukitumia premium kama DHL, TNT, FEDEX ni fasta sana most of the time within 7-10 days.
Ukitumia hizi free shipping ni mpaka siku 45
Ila kutokana na Corona sometimes free inafika 90+days.
Pole sana. Mimi mzigo ulikaa karibia 4months, nakumbuka august to December,Aise kaka ni kweli mimi nina order zangu za tangu December mpaka leo march inakatikaa sijapata taarifa ya kufika mzigo wangu. Sellers wameniongezea protection period mara mbili
Nafikiria niende posta nikawaulize kama package yangu imefikaa
Mm nilifungua refund seller akani bembeleza ni cancel nika cancel ..Pole sana. Mimi mzigo ulikaa karibia 4months, nakumbuka august to December,
December mwanzoni niliopt refund wakanilipa ila baadae nikatumiwa mesej na post kwenda chukua mzigo.
Kwa hasira hela sikurudisha. Nikala mzigo wa bure
Niliwahi kuagiza na kampuni moja ya kichina mzigo walinambia ndani ya mwezi utakuwa umefika cha ajabu 2 uliisha na mzigo ulikuwa bado haujafika.Dadeki..😅
Ukitaka ufike mapema zaidi tumia wasafirishaji Kama dhl n.k ila gharama zake usinune.. halafu mbona imekuchukua muda mrefu hivyo maana najua free shipping huwa ni mwezi Sasa wewe duh! Au ndo tuseme corona..😜
Gharama za usafiri kwa DHL inaweza kuwa mara mbili ya gharama ya bidhaa!Kwani kuagiza kwa FedEx au DHL zinakuwa bei gani kwa mzigo wa kawaida Kama simu au laptops
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kaka sorry kuuliza si ujinga ivi Aliexpress na Alibaba.com ni company moja auSolar security lights with motion sensorView attachment 1521182View attachment 1521183View attachment 1521184
Alibaba ni "Parent company", inauza bidhaa za jumla, lakini Aliexpress inauza bidhaa za leja leja.Aliexpress ni mtoto wa AlibabaKaka sorry kuuliza si ujinga ivi Aliexpress na Alibaba.com ni company moja au