Alinunua babu mpaka mjukuu anatumia!Tangu enzi za mkapa mpaka sasa nadunda nalo..sitaki maswali.
Alinunua babu mpaka mjukuu anatumia!Tangu enzi za mkapa mpaka sasa nadunda nalo..sitaki maswali.
Kumbe jeee..!!🤣🤣🤣🤣Alinunua babu mpaka mjukuu anatumia!
Alinunua babu mpaka mjukuu analitumia.Nmeanzia maisha 5*6*8"
Baada ya jamaa yangu mmoja kunishauri ukitaka kuanza maisha jichange na ununue kitu cha moja kwa moja na siyo kusema nitakibadilisha baadae kwan utapoteza pesa kurudi nyuma Kila siku badala ya kwenda mbele.
Kwann nilibadilishe wakat linafaa kulalia hata kwa baadae nikiwa na wife? na hata home nimelalia magodoro yaliyo nunuliwa kabla sijazaliwa had leo nikienda na yalalia na hayaja nidhuru Mimi siwez mambo ya kizungu hayo mkuu
unalo lile la alilinunua babu mpaka mjukuu analitumia eeh?Mie la kwangu niliachiwa urithi na marehemu babu mzaa babu
😊😊 Mwisho wa mwaka kumbe huwa mtamu hivi?? naona hekima zinazidi kumwagika jukwaaniMara yako ya mwisho kununua godoro lini?
Hilo godoro unalolalia lina inch ngapi?
Je, unafahamu mtu mzima anatakiwa kulala kwenye godoro la inch ngap?
Unafahamu watu wengi wanaumwa kiuno na mgongo sababu magodoro wanayolalia yameisha muda wake?
Sikia utafiti unaonesha watu wengi wanalala kwenye magodoro ambayo walinunua wakati wanaanza kujitegemea.
Kama wewe una zaidi ya miaka 2 haujabadilisha godoroni badilisha godoro haraka sana.
Kulala kwenye godoro zuri lisilo isha muda inakupa afya bora kwako na watoto.
Nunua jipya coz kuisha kwa godoro sio muonekano...ni mda ambao limekaa
Lipeleke pala chamwino kuna msukuma mmoja anaweza linunua5×6×8
Mwaka huu March - muda lilipotoka dukani
Halijatimiza hata mwaka 1
Kitu bado piruuu kabisa, naweza hata kumshikisha msukuma nikamwambia nimelinunua Nov
Umetisha mkuuMi godoro langu limepiga kura awamu zote kuanzia Mkapa mpaka huyu wa sasa.
Alafu bado liko njema tu mkuu..kwani silitumii sana..mara nyingi nalala baaUmetisha mkuu
Halina chawa wala kunguni?Alafu bado liko njema tu mkuu..kwani silitumii sana..mara nyingi nalala baa
Daah unatupa so Bora uwape mafundi masofaMimi Godoro natumia miezi 6 tu naachana nalo. Tena ya Spring haya ya kawaida week 3 tu nàgawa nanunua jingine. Godoro la spring tumia miezi 6 tu na haya ya kawaida week 3 unatupa unanunua jingine
Vipi wale wenzetu waliolalia ngozi,mikeka na nyasi miaka yote ya uhai wao na hawakuwahi kuumwa kiuno,mbavu wala mugongo