Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
😂😂😂😂 Kweli bwana hakuna shidasiyo mbaya mamii, km unalala vzuri tu shida iko wapi?
😂😂😂😂 Kweli bwana hakuna shidasiyo mbaya mamii, km unalala vzuri tu shida iko wapi?
Kitaalamu unatakiwa kubadilisha godoro kila baada ya miaka miwiliMara yako ya mwisho kununua godoro lini?
Hilo godoro unalolalia lina inch ngapi?
Je, unafahamu mtu mzima anatakiwa kulala kwenye godoro la inch ngap?
Unafahamu watu wengi wanaumwa kiuno na mgongo sababu magodoro wanayolalia yameisha muda wake?
Sikia utafiti unaonesha watu wengi wanalala kwenye magodoro ambayo walinunua wakati wanaanza kujitegemea.
Kama wewe una zaidi ya miaka 2 haujabadilisha godoroni badilisha godoro haraka sana.
Kulala kwenye godoro zuri lisilo isha muda inakupa afya bora kwako na watoto.
Dah umetuuliza maswali tu bila majibu au unatupeleleza?