walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,520
Wadau la kwangu 5*6 lakini nilinunua kipindi naanza maisha ila kwa sasa nimeoa naitaji kubadilisha si unajua mambo yetu yale itabidi nipate godoro 6*6, vipi bei yake imesimamaje huko sokoni embu leteni bei hili mwisho wa mwezi nikachukue kitu kipya kabisa