kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,563
- 2,628
Super banco hiloMama angu ana godoro la wageni (linatumika kila mara) alilinunua kabla bambo hajawaambia watu wakukuruke, mpaka leo lipo. Inshort alinunua kabla kikwete hajajiandaa kuwa Rais
Super banco hiloMama angu ana godoro la wageni (linatumika kila mara) alilinunua kabla bambo hajawaambia watu wakukuruke, mpaka leo lipo. Inshort alinunua kabla kikwete hajajiandaa kuwa Rais
Vp la kwako...
Lina mwakaVp la kwako...
Tangu 2009 kubadili ni 2030 tanfoamMara yako ya mwisho kununua godoro lini?
Ilo godoro unalolalia lina inch ngap?
Je unafahamu mtu mzima anatakiwa kulala kwenye godoro la inch ngap?
Unafahamu watu wengi wanaumwa kiuno na mgongo sababu magodoro wanayolalia yameisha mda wake?
Sikia utafiti unaonyesha watu wengi wanalala kwenye magodoro ambayo walinunua wakati wanaanza kujitegemea.
Km we una zaidi ya miaka2 haujabadilisha godoroni badilisha godoro haraka sana.
Kulala kwenye godoro zuri lisilo isha mda inakupa afya bora kwako na watoto.
Naunga hoja, the more kitanda chenu kinakuwa kidogo ndivyo mnapunguza chance ya ugomvi kudumu. Mtagusana tu.2011 5x6 6" Tanfoam: Kabla sijaoa nikalilalia poa tuu Hadi nikaoa.
Wife Ana hips na wezere mwaka tuu likabonyea Sana sehemu anayolala. Nikaligeuza pia likabonyea Sana bila kurudi upande anayolala.
2018 5x6 8" Comfy: mwaka wa Pili sasa limebonyea Sana sehemu wife anayolala. Nadhani Ni kwa sababu akiwa mzazi anatumia mda mrefu kukaa na kunyonyesha au kubembeleza mtoto.
2021 4x6 8" Tanfoam: natarajia kubadili kitanda na godoro kwa ajili yangu na wife. Kitanda kikubwa nampa dada wa kazi na watoto wa kike. Kisha na wife 4 kwa 6 inatutosha.
Wanandoa Vitanda viwe 4 kwa sita.
Tumechelewa Sana.
Nimekupm mkuuAlieelewa jamani anitag
Tunawaambia kuleni mtori nyama mtazikuta chini.Sasa sisi wazee wa masafa yaani kwa mwaka linatumika wastani wa miezi mitatu...unatuambiaje?
Awamu ijayo naomba mimi mzee baba,.niunganishe na hili langu,...lolMimi Godoro natumia miezi 6 tu naachana nalo. Tena ya Spring haya ya kawaida week 3 tu nàgawa nanunua jingine. Godoro la spring tumia miezi 6 tu na haya ya kawaida week 3 unatupa unanunua jingine
Mi godoro langu limepiga kura awamu zote kuanzia mkapa mpaka huyu wa sasa.
Hahaha sawa Arusha girl ..kitu bado piru5×6×8
Mwaka huu March - muda lilipotoka dukani
Halijatimiza hata mwaka 1
Kitu bado piruuu kabisa, naweza hata kumshikisha msukuma nikamwambia nimelinunua Nov
Labda yale magodoro ya dabodeka mkuu..Wakuu,ni godoro gani lenye unafuu naweza kupata kwa laki 2?
Wakuu,ni godoro gani lenye unafuu naweza kupata kwa laki 2?