Wanakumbukwa, chadema bado ina languish kwenye mabavu ya CCM.Nikikumbuka Miaka ya Nyuma Kipindi cha CDM ipo HoT sana Kule Arusha,Mwanza Vijana Walijitokeza Kupigania Chama wakidhani Kitawakomboa Mwisho wa Siku walipigwa Risasi na Wengine Kupata Majeraha ya Maisha
Leo Hii Hakuna Anayewakumbuka.
LIVE YOUR LIFE... Basi USIMPIGANIE MTU MWINGINE