Number 5 kunani?

Number 5 kunani?

Nikikumbuka Miaka ya Nyuma Kipindi cha CDM ipo HoT sana Kule Arusha,Mwanza Vijana Walijitokeza Kupigania Chama wakidhani Kitawakomboa Mwisho wa Siku walipigwa Risasi na Wengine Kupata Majeraha ya Maisha

Leo Hii Hakuna Anayewakumbuka.

LIVE YOUR LIFE... Basi USIMPIGANIE MTU MWINGINE
unatetea ulaji wako, ni haki yako
 
Ni njia ya kuwatoa wadanganyika kwenye reli ama?
Je ni namna ya kuepusha mijadala HOT ama kuna ihalisia?
Kwenye vipindi kama hivi.. Timu maalum za kueneza uzushi kiufundi sana huwa active sana.. Na sometimes malipo yake huwa mazuri sana!
Je ni wangapi ambao DOB na DOD hufanana ama hukaribiana kama sio kushabihiana?View attachment 3486104
Aliye elewa naomba anieleweshe
P
 
Kama ni kweli na iwe kheri !
20251009_145515.jpg
 
Nikikumbuka Miaka ya Nyuma Kipindi cha CDM ipo HoT sana Kule Arusha,Mwanza Vijana Walijitokeza Kupigania Chama wakidhani Kitawakomboa Mwisho wa Siku walipigwa Risasi na Wengine Kupata Majeraha ya Maisha

Leo Hii Hakuna Anayewakumbuka.

LIVE YOUR LIFE... Basi USIMPIGANIE MTU MWINGINE
Hizi ni propaganda mfu za misukule ya kibibi Samia.
 
Nikikumbuka Miaka ya Nyuma Kipindi cha CDM ipo HoT sana Kule Arusha,Mwanza Vijana Walijitokeza Kupigania Chama wakidhani Kitawakomboa Mwisho wa Siku walipigwa Risasi na Wengine Kupata Majeraha ya Maisha

Leo Hii Hakuna Anayewakumbuka.

LIVE YOUR LIFE... Basi USIMPIGANIE MTU MWINGINE

Kwani Chadema hawafi... Au unatka afe nani ndiyo uju nao wanakufa kwa design hiyo hiyo!!
 
Mkuu hii ''habari'' ipo nadhani tangu juzi mpaka nikajiuliza kulikoni? Leo nilikuwa nasikitika (ama kushangaa labda) nilipoona picha za marais wote waliotangua, kasoro Nyerere. Wote wametangulia mbele ya haki, kasoro mmoja. Halafu sasa... wamefariki kwa mpangilio kama walivyokuwa wamejipanga kwenye picha. Klichonishangaza ni watu wanaombea yule alibaki naye aondoke..... nikajiuliza hii chuki... hii... ya wananchi kwa viongozi mbona iko juu sana na wahusika hawajali?
 
Mkuu hii ''habari'' ipo nadhani tangu juzi mpaka nikajiuliza kulikoni? Leo nilikuwa nasikitika (ama kushangaa labda) nilipoona picha za marais wote waliotangua, kasoro Nyerere. Wote wametangulia mbele ya haki, kasoro mmoja. Halafu sasa... wamefariki kwa mpangilio kama walivyokuwa wamejipanga kwenye picha. Klichonishangaza ni watu wanaombea yule alibaki naye aondoke..... nikajiuliza hii chuki... hii... ya wananchi kwa viongozi mbona iko juu sana na wahusika hawajali?
Ogopa Mano dua la maskini na asiye na nguvu..!
 
Back
Top Bottom