Nukta za Zitto kuhusu vurugu za wana-uamsho Zanzibar

Huyu Zito ana matatizo, anaelewa kabisa source ya Vurugu za Zanzibar ni kauli za Swahiba wake wa Karibu na yeye kuwahi kukemea ni kama njia ya kuuonyesha umma kwamba yeye anazichukia hizo vurugu siyo kweli...

Zitto na Jusa ni marafiki/maswahiba na Jusa anahusikika kwa asilimia fulani kwenye hizo vurugu sasa tunamtenga vp yeye na hizo vurugu?

Na nini kipo nyuma ya hizo vurugu?

Wacha kujitoa fahamu wewe, vurugu za zenj nimatokeo ya Tanganyika kuendelea kulazimisha muungano huo ndio ukweli.
 
4. Muungano wetu ni sacred na tumetoka mbali kushindwa sasa kuulinda, 'not when we are so close at having an everlasting formula'

.

Sijamuelewa Mh Zitto hapo. SACRED? EVERLASTING FORMULA? ndio anamaanisha nini!

Niweke bayana kuwa binafsi siuchukii muungano lakini; lakini maudhui na muundo wa muungano vitaendelea kuwa mwiba.

Nikirejea historia ya watu wa pande hizi mbili kuna mambo (tofauti za kimsingi) ambayo huwa zinakuwa diluted in a politcal mill na kuishia kupuuzwa.

Yako mengi kwa mfano tofauti za Unguja na Pemba wao kwa wao (Z'bar sio moja kivile).
 
Nasupport alichoandika Zitto pai kilichosemwa na Dr. Slaa.
Pia maswali yanayoendelea kutajwa hapo juu, raisi wangapi, bendela ngapi, nk.

wanaandama juu ya muungano WANACHOMA KANISA!!! wanalao jambo nyuma ya pazia. Hawa mbona walianza muda mrefu, sijui leo imekuwaje wamerushiwa mabomu. Ingelikuwa wa CDM wangelikuwa wamepigwa risasi za moto, mateke, marungu, kuvunjwa viuno na kubandikiwa KESI ZA UHAINI. Hao wenzao na lao moja. Ila angalizo kwa watu wanaotaka kufikiri zaidi:
1. Kisiasa - ni muungano kweli?
2. Udini - kupinga ukristo kupitia kivuli cha muungano?

JF mwenye kujua aina ya kemikali (SUMU) inayowekwa kwenye maji ya kuwashawasha tunaomba atutajie ili tuifanyie upembuzi (Risk Assessment) juu ya madhara yake kwa mwili wa binadamu. Kwa upande wa virungu, risasi madhara yanaeleweka.

Asante, Josam

en.m.wikipedia.org/wiki/CS_gas
 
Muungano una matatizo, hakuna anayebisha. Lakini kama muungano una matatizo, na jumuiya ya uamsho wanatofautiana na polisi kwa nini wachome kanisa? Hakuna namna nyingine ya kutatua issue ya muungano? Na kwa nini kwa mfano wasichome temple ya wahindi kwa mfano? Why kanisa?

Kwa vyoyote vile, huu uchomaji wa kanisa utabakia kuwa doa kwa hawa wanauamsho. Wameupaka uislam matope. Wanataka kutumia mwavuli wa dini kutimiza azma zao.

Jibu lako ni rahisi sana.
Makanisa yamepelekwa zenj na muungo.
Kabla ya muungano zenj haikuwa na utitiri wa mabaa na makanisa.:banghead:
 
mdau lugha ya picha hapa ndio kwake,,,Jussa msimamo wake ni kuuvunja muungano na mara zote huwa natoa matusi dhidi yetu,,,,,,sasa unapoongea kwa mifano butu unaonekana huna hoja,,,maelezo yako hapo juu ni ishara kwamba umekiri kuwa kakaenu jussa alitoa hayo maneno,wadau waliweka You Tube hapa na wakachangia.....NGOJA TUWATWANGE VIRUNGU HADI MTENGEMAE

Msimamo wa kuvunja muungano ni wa Zenj wote sio jusa tu, kwavilee jussa ana majukwaa ndio maama umemsikia.
 
Hii thread imekaaje,Zitto ndie kasema muungano ni sacred au vipi.Kama kweli kasema hivyo,basi hajui maana ya neno sacred.Kitu alichotengeneza mwanadamu kitakuaje sacred?
Hivi huyu Zitto "Muungano Sacred" Kabwe kweli ni leader material kweli? Je anazo leadership qualities?
 
Naamini waandishi hawakumwelewa Katibu Mkuu. Mkataba wa Muungano upo. Ni moja ya hati za makabidhiano kwa kila Katibu wa Bunge na Dkt. Slaa amekuwa Mbunge muda mrefu na hawezi kusema walichoandika waandishi. Mkataba wa Muungano ulijadiliwa katika Bunge la Tanganyika na Hansard zipo kila mahala. Mkataba wa Muungano sio jambo la siri hata kidogo na wala haliwezi kuwa jambo la siri.

Ni kweli wananchi hawaujui muungano. Hii ni kutokana na watawala kutotaka tuujue muungano. Lakini kutoujua hakutun yimi haki ya kuujadili muungano na kuamua hatma yake.

Katibu na naibu katibu mnatuletea hoja gongana.
 
1 .Vurugu za Zanzibar ni 'unwanted distractions' katika mchakato wa kuandika katiba mpya.

2. Hakuna namna vitendo hivyo vinaweza kuhalalishwa na kutetewa lakini ni matokeo ya muda mrefu ya 'superficial attempts at dealing against groups with ulterior motives.

3. Rais Ali Mohamed Shein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti vurugu hizo, na kuanza mzungumzo na pande zote. Hiki sio kitendo cha kudharau kabisa

4. Muungano wetu ni sacred na tumetoka mbali kushindwa sasa kuulinda, 'not when we are so close at having an everlasting formula'

5. Waliochoma nyumba za ibada wasakwe na kufikishwa mbele ya sheria mara moja. Tusiruhusu hata kidogo wapuuzi wachache
kutuingiza katika vurugu za kidini ili kufikia malengo yao ya kisiasa.

6. Zanzibar Political leaders and public opinion makers must engage the Zanzibaris into a serious and objective dialogue about the future of Zanzibar within or outside the Union.
Vulugu za huko Zanzibar tatizo sio Muungano, ila tu hicho kikundi kinatumia mwavuli wa muungano kufanya hizo vulugu, tatizo lao ni udini. Hawawataki Wakristu kwa ujumla. Ndio maana wanachoma Makanisa na Bar. Kama tatizo ni muungano, siwaende Ikulu???? Hao ni waongo tu, wameshaaza ubaguzi, udini utawamaliza hawa.........................,
 
Naamini waandishi hawakumwelewa Katibu Mkuu. Mkataba wa Muungano upo. Ni moja ya hati za makabidhiano kwa kila Katibu wa Bunge na Dkt. Slaa amekuwa Mbunge muda mrefu na hawezi kusema walichoandika waandishi. Mkataba wa Muungano ulijadiliwa katika Bunge la Tanganyika na Hansard zipo kila mahala. Mkataba wa Muungano sio jambo la siri hata kidogo na wala haliwezi kuwa jambo la siri.

Ni kweli wananchi hawaujui muungano. Hii ni kutokana na watawala kutotaka tuujue muungano. Lakini kutoujua hakutun yimi haki ya kuujadili muungano na kuamua hatma yake.


Kamanda huwa wakati mwingine wanakushambulia kwasababu ya wewe kutokujipanga na kauli/maandishi/matamko yako.Hili nitakushauri kila siku acha kujipandisha juu kwa kukimbilia media/social network kuweka statement ambazo kimsingi zinawalakini ( zinakwaruzana na statement walizowahi toa viongozi wa chama chako kitaifa).Ni kwanini wewe tu ndio huwa jambo linapotokea unakuwa wa kwanza unatoa maandishi/tamko kama zitto? Inamaana kila mbunge/kiongozi wa CDM akiandika kwenye blog/website/social media juu ya mtazamo wake CDM itafika?

Nakutakia kazi njema kwenye mapambano kuelekea ukombozi wa tz iliyo na neema kwa manufaa ya watanzania wote.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
I think you are totally out of order and i am sorry but this is rubbish.

Jussa knows my stand on Union and on his outbursts. I send the message to the public and Jussa is a non issue here. I dont discuss people, but issues. If Jussa is wrong i tell him publicly and thats me. Dont distract people to discuss issues and start discussing Jussa.

Who is Jussa? My concern is peace of our country. These people who burn Churches have been handled with kidgloves. We must not only condemn them but show them that it is unacceptable in any civil society.

rounding this to Jussa persona is totally rubbish

Hawa watu wanaochoma makanisa kwa kisingizio cha muungano wamefanya hivyo kutokana na ushawishi wa wanasiasa kadhaa na rafiki yako Jusa amekuwa mstari wa mbele kuhamasisha ubaguzi huu wa kidini na uzanzibari na ubara.
Pls mkemee swahiba wako Jusa hadharani kama unavyofanya kwa hawa wengine.
 
Zanzibar haiwezi ikadumu kama nchi huru kwa hata mwezi mmoja. Walishajaribu na kushindwa mara kadhaa;

Sasa hivi wameunganika kwa kisingizio cha Uislam. Wakipewa wanachotaka hata Uislam hautaweza kuzuia maafa yatayotokea. Itakuwa ni Pemba vs Unguja, Wazanzibara vs Wazanzibari, Waarabu vs Waafrika... n.k.
 
1 .Vurugu za Zanzibar ni 'unwanted distractions' katika mchakato wa kuandika katiba mpya.

2. Hakuna namna vitendo hivyo vinaweza kuhalalishwa na kutetewa lakini ni matokeo ya muda mrefu ya 'superficial attempts at dealing against groups with ulterior motives.

3. Rais Ali Mohamed Shein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti vurugu hizo, na kuanza mzungumzo na pande zote. Hiki sio kitendo cha kudharau kabisa

4. Muungano wetu ni sacred na tumetoka mbali kushindw
 
Zanzibar haiwezi ikadumu kama nchi huru kwa hata mwezi mmoja. Walishajaribu na kushindwa mara kadhaa;

Sasa hivi wameunganika kwa kisingizio cha Uislam. Wakipewa wanachotaka hata Uislam hautaweza kuzuia maafa yatayotokea. Itakuwa ni Pemba vs Unguja, Wazanzibara vs Wazanzibari, Waarabu vs Waafrika... n.k.

Kama alivyotufunza Nassari sio?
 
Huyu Zito ana matatizo, anaelewa kabisa source ya Vurugu za Zanzibar ni kauli za Swahiba wake wa Karibu na yeye kuwahi kukemea ni kama njia ya kuuonyesha umma kwamba yeye anazichukia hizo vurugu siyo kweli...

Zitto na Jusa ni marafiki/maswahiba na Jusa anahusikika kwa asilimia fulani kwenye hizo vurugu sasa tunamtenga vp yeye na hizo vurugu?

Na nini kipo nyuma ya hizo vurugu?

What is the aim here? To provoke Zito? I had never heard or even felt Zito is standing for or advocating for separation or for religious oriented rule. Only a fool can think Tanzania can be ruled by a religious government. Zito is too clever to accept this rubbish thinking.

My advise to all moslems is to stand up and silence this blind and ill hearted group which is for tarnishing Tanzania and Islam. The moslems are at a better position of strongly standing against this group (with unwelcome idiology of breaking the union with intention of interfering people's faith), without being misinterpreted of being attacking islam is it could be if they were not moslems.

To get out of this we need a strong, wise, committed and capable leadership. A single qualification is likely to fail. Who is the strong leader to stand upon this and find an everlasting solution?
 
Hivi huyu Zitto "Muungano Sacred" Kabwe kweli ni leader material kweli? Je anazo leadership qualities?

SIONI LOGIC YA KUANZISHA THREAD INAYOMUHUSU ZITTO. ZITTO NI MTANZANIA KAMA WENGINE, Hivyo ni busara kujibu hoja yake na siyo yeye. Isitoshe hili lipo kwenye thread nyingine, sasa ya nini kumuhanzishia Zitto thread? let us discuss issues and not people for the sake of CHADEMA.
 
How comes people who want disintegration of union then they burn churches? Are christians want the union? what will be the voice of Muslim leader at zanzibar?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom