Nukta za Zitto kuhusu vurugu za wana-uamsho Zanzibar

Dec 11, 2010
3,321
6,328
1 .Vurugu za Zanzibar ni 'unwanted distractions' katika mchakato wa kuandika katiba mpya.

2. Hakuna namna vitendo hivyo vinaweza kuhalalishwa na kutetewa lakini ni matokeo ya muda mrefu ya 'superficial attempts at dealing against groups with ulterior motives.

3. Rais Ali Mohamed Shein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti vurugu hizo, na kuanza mzungumzo na pande zote. Hiki sio kitendo cha kudharau kabisa

4. Muungano wetu ni sacred na tumetoka mbali kushindwa sasa kuulinda, 'not when we are so close at having an everlasting formula'

5. Waliochoma nyumba za ibada wasakwe na kufikishwa mbele ya sheria mara moja. Tusiruhusu hata kidogo wapuuzi wachache
kutuingiza katika vurugu za kidini ili kufikia malengo yao ya kisiasa.

6. Zanzibar Political leaders and public opinion makers must engage the Zanzibaris into a serious and objective dialogue about the future of Zanzibar within or outside the Union.
 
Naamini Zitto yuko karibu sana Jussa, I hope atamtumia huu ujumbe. Na kwa waliokuwa hawajui nia ya CUF sasa wanaona - kurudisha Zanzibar chini ya himaya wa mwarab.
 
Huyu Zito ana matatizo, anaelewa kabisa source ya Vurugu za Zanzibar ni kauli za Swahiba wake wa Karibu na yeye kuwahi kukemea ni kama njia ya kuuonyesha umma kwamba yeye anazichukia hizo vurugu siyo kweli...

Zitto na Jusa ni marafiki/maswahiba na Jusa anahusikika kwa asilimia fulani kwenye hizo vurugu sasa tunamtenga vp yeye na hizo vurugu?

Na nini kipo nyuma ya hizo vurugu?
 
Chanzo cha vurugu Zanzibar kinajulikana, ni lile lile dubwana muungano. Hata muwatie ndani wazanzabar wote, mutayastopisha mapambano lkn hamtayaondoa, kwani wameshauliwa weng na wengne kutiwa ndani tokea 64, kwa ajili ya muungano huu ili kuudhbit na kuulinda kwa nguvu zote.

Alimradi kizazi cha kizanzibar bdo kpo kinaendelea, mizozo hii kamwe haitosita, mpaka wapewe haki yao
 
Usipoziba ufa utajenga ukuta. Kero za muungano hazijaanza leo, zimekuwepo siku nyingi na serikali ya ccm imekuwa haichukui hatua madhuti za kushughulikia kero hizo. Yanayofanyika sasa ni matokeo ya watu kukata tamaa na kuona kwamba hawana pa kusemea ili sauti zao zisikilizwe na watawala.
 
Naamini Zitto yuko karibu sana Jussa, I hope atamtumia huu ujumbe. Na kwa waliokuwa hawajui nia ya CUF sasa wanaona - kurudisha Zanzibar chini ya himaya wa mwarab.

Mkuu hapa CUF unawabebesha zigo lisilowahusu. Wa kulaumiwa hapa ni Nchimbi kama waziri wa mambo ya ndani ambaye wizara yake ni ya muungano, kuruhusu polisi kuanzisha vurugu hizi.

Hakukuwa na haja ya kukamata watu usiku kama majambazi na kuanza kupiga risasi wakati historia ya Zanzibar inajulikana wazi tangu uchaguzi wa mwaka 1995. Busara ingetumika, badala ya kutumia coercion wangetumia engagement. Huwezi kuulinda muungano kwa mabomu bali kwa majadiliano na maelewano. Yeyote atakeyepoteza maisha anatakiwa kuondoka na Nchimbi kama waziri mwenye dhamana ya polisi.

Lakini pia Dr Shein na wenzake wanatakiwa kuwa huru kutoa maamuzi yao si kila kitu wafuate CCM inawaambia nini. Hawa Uamsho hawahitaji kuwa contained bali kuwa unleashed. Suala la dini ni very sensitive, ukitumia nguvu kuwadhibiti unawafanya hata wale ambao wasiowafuata hawa uamsho kuaona kuwa nao wanatakiwa kufanya kitu kwani dini yao ya kiislam inasema 'ndugu wa muislam ni muislam'. Hii ni test ya kwanza ambayo CCM wasipoangalia wata-fail vibaya sana kuelekea mchakato wa katiba. Huwezi kuwawekea watu mipaka katika kujadili mustakabali wa maisha yao.
 
1. Maamiri jeshi wako wangapi?
2. Marais wako wangapi
3. Katiba Ziko Ngapi
4. Nchi Ziko Ngapi
5. Wajinga wako wangapi!!

Young mohamd can u unswer Ma questions ?
 
waarabu wanawachochea ili warudi! Baadhi ya Wazanzibar wanataka utawala wa waarabu!
 
Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.

Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.

Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.

Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!

Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.
 
Mkuu hapa CUF unawabebesha zigo lisilowahusu. Wa kulaumiwa hapa ni Nchimbi kama waziri wa mambo ya ndani ambaye wizara yake ni ya muungano, kuruhusu polisi kuanzisha vurugu hizi.

Hakukuwa na haja ya kukamata watu usiku kama majambazi na kuanza kupiga risasi wakati historia ya Zanzibar inajulikana wazi tangu uchaguzi wa mwaka 1995. Busara ingetumika, badala ya kutumia coercion wangetumia engagement. Huwezi kuulinda muungano kwa mabomu bali kwa majadiliano na maelewano. Yeyote atakeyepoteza maisha anatakiwa kuondoka na Nchimbi kama waziri mwenye dhamana ya polisi.

Muungano una matatizo, hakuna anayebisha. Lakini kama muungano una matatizo, na jumuiya ya uamsho wanatofautiana na polisi kwa nini wachome kanisa? Hakuna namna nyingine ya kutatua issue ya muungano? Na kwa nini kwa mfano wasichome temple ya wahindi kwa mfano? Why kanisa?

Kwa vyoyote vile, huu uchomaji wa kanisa utabakia kuwa doa kwa hawa wanauamsho. Wameupaka uislam matope. Wanataka kutumia mwavuli wa dini kutimiza azma zao.
 
Naamini Zitto yuko karibu sana Jussa, I hope atamtumia huu ujumbe. Na kwa waliokuwa hawajui nia ya CUF sasa wanaona - kurudisha Zanzibar chini ya himaya wa mwarab.

I think you are totally out of order and i am sorry but this is rubbish.

Jussa knows my stand on Union and on his outbursts. I send the message to the public and Jussa is a non issue here. I dont discuss people, but issues. If Jussa is wrong i tell him publicly and thats me. Dont distract people to discuss issues and start discussing Jussa.

Who is Jussa? My concern is peace of our country. These people who burn Churches have been handled with kidgloves. We must not only condemn them but show them that it is unacceptable in any civil society.

rounding this to Jussa persona is totally rubbish
 
I think you are totally out of order and i am sorry but this is rubbish.

Jussa knows my stand on Union and on his outbursts. I send the message to the public and Jussa is a non issue here. I dont discuss people, but issues. If Jussa is wrong i tell him publicly and thats me. Dont distract people to discuss issues and start discussing Jussa.

Who is Jussa? My concern is peace of our country. These people who burn Churches have been handled with kidgloves. We must not only condemn them but show them that it is unacceptable in any civil society.

Rounding this to Jussa personal is totally rubbish
Dr Slaa walau alikuwa honest na kuuliza huo mkataba wa muungano uko wapi

wewe unasema ujadiliwe wakati wananchi hawajui wanajadili nini
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Naamini Zitto yuko karibu sana Jussa, I hope atamtumia huu ujumbe. Na kwa waliokuwa hawajui nia ya CUF sasa wanaona - kurudisha Zanzibar chini ya himaya wa mwarab.

jusa ndo mwehu yule,,,,,,sijui hiyo sheria ameisomea wapi,,,mmbaguuuuuz kweli,halafu wehu wenzie wanamwita MWANAHARAKATI
 
I think you are totally out of order and i am sorry but this is rubbish. Jussa knows my stand on Union and on his outbursts. I send the message to the public and Jussa is a non issue here. I dont discuss people, but issues. If Jussa is wrong i tell him publicly and thats me. Dont distract people to discuss issues and start discussing Jussa. Who is Jussa? My concern is peace of our country. These people who burn Churches have been handled with kidgloves. We must not only condemn them but show them that it is unacceptable in any civil society.
rounding this to Jussa persona is totally rubbish

mimi sielewi hii lugha-naish mwandigaaaaaa
 
Dr Slaa walau alikuwa honest na kuuliza huo mkataba wa muungano uko wapi

wewe unasema ujadiliwe wakati wananchi hawajui wanajadili nini

Naamini waandishi hawakumwelewa Katibu Mkuu. Mkataba wa Muungano upo. Ni moja ya hati za makabidhiano kwa kila Katibu wa Bunge na Dkt. Slaa amekuwa Mbunge muda mrefu na hawezi kusema walichoandika waandishi. Mkataba wa Muungano ulijadiliwa katika Bunge la Tanganyika na Hansard zipo kila mahala. Mkataba wa Muungano sio jambo la siri hata kidogo na wala haliwezi kuwa jambo la siri.

Ni kweli wananchi hawaujui muungano. Hii ni kutokana na watawala kutotaka tuujue muungano. Lakini kutoujua hakutun yimi haki ya kuujadili muungano na kuamua hatma yake.
 
1. Maamiri jeshi wako wangapi?
2. Marais wako wangapi
3. Katiba Ziko Ngapi
4. Nchi Ziko Ngapi
5. Wajinga wako wangapi!!

Young mohamd can u unswer Ma questions ?

6.Bendera ziko ngapi?
7.Nyimbo za taifa ziko ngapi?
8.Serikali ziko ngapi?
Jibu pia na hayo tafadhari
 
Mkuu hapa CUF unawabebesha zigo lisilowahusu. Wa kulaumiwa hapa ni Nchimbi kama waziri wa mambo ya ndani ambaye wizara yake ni ya muungano, kuruhusu polisi kuanzisha vurugu hizi.

Hakukuwa na haja ya kukamata watu usiku kama majambazi na kuanza kupiga risasi wakati historia ya Zanzibar inajulikana wazi tangu uchaguzi wa mwaka 1995. Busara ingetumika, badala ya kutumia coercion wangetumia engagement. Huwezi kuulinda muungano kwa mabomu bali kwa majadiliano na maelewano. Yeyote atakeyepoteza maisha anatakiwa kuondoka na Nchimbi kama waziri mwenye dhamana ya polisi.

Lakini pia Dr Shein na wenzake wanatakiwa kuwa huru kutoa maamuzi yao si kila kitu wafuate CCM inawaambia nini. Hawa Uamsho hawahitaji kuwa contained bali kuwa unleashed. Suala la dini ni very sensitive, ukitumia nguvu kuwadhibiti unawafanya hata wale ambao wasiowafuata hawa uamsho kuaona kuwa nao wanatakiwa kufanya kitu kwani dini yao ya kiislam inasema 'ndugu wa muislam ni muislam'. Hii ni test ya kwanza ambayo CCM wasipoangalia wata-fail vibaya sana kuelekea mchakato wa katiba. Huwezi kuwawekea watu mipaka katika kujadili mustakabali wa maisha yao.

jeshi litahakikisha linalinda aman na usalama wa raia na mali zao kwa nguvu yeyote ile...MSICHEZEE DOLA NYIE WENYEWE HATA MILION 2 HAMFIKI MNATAKA KUTUSHUGHULISHA SIE TUKO BUSY NA MAMBO YA MSINGI,TUWAZALISHIE UMEME,TUWALISHE,TUWALINDE NA BADO MNALETA FYOKOFYOKO HAPA,TUNAWASOMESHA KUPITIA BODI YA MIKOPO,HAMNA PESA YEYOTE,MNAJENGA HUKU,BADO TUU MNAPOTEZA MUDA KWA VURUGU,ALA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom