Nuchukia sana muungano huu wa serikali mbili

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416
Mwananchi Jumatano Septemba 4, 2013 "Muswada wa Sheria ya Kura ya Maoni wa mwaka 2013 uliokuwa ujadiliwe katika mkutano wa 12 wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, umeondolewa na sasa utajadiliwa Bunge lijalo. Habari za uhakika zilizopatikana jana, zilisema kwamba kuahirishwa huko kumetokana na wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala ya Bunge wanaotoka Zanzibar kupinga vikali kura ya maoni kupigwa visiwani humo kwa kuwa tayari huko kuna sheria hiyo." Katika miungano ya kweli Federal law supersedes state law, lakini hili muungano wazanzibar wanahisi wao ni nchi. Kuna kero chungu mzima zinazotokana na utata wa hili limuungano. Kuna gharama kubwa sana kuendesha limuungano hili, Marais wawili, mmoja amekuwa kama TV, remote ipo magogoni. Jimbo la Zanzibar lina makamo wa Rais wawili, mmoja kazi yake ni kupakia mikaa/mihogo ndani ya ndege ya Rais. Hizi gharama zote zisingekuwepo kama tungekuwa na Rais mmoja na waziri wakuu wawili Tanganyika na Zanzibar.
 
Mwananchi Jumatano Septemba 4, 2013 "Muswada wa Sheria ya Kura ya Maoni wa mwaka 2013 uliokuwa ujadiliwe katika mkutano wa 12 wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, umeondolewa na sasa utajadiliwa Bunge lijalo. Habari za uhakika zilizopatikana jana, zilisema kwamba kuahirishwa huko kumetokana na wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala ya Bunge wanaotoka Zanzibar kupinga vikali kura ya maoni kupigwa visiwani humo kwa kuwa tayari huko kuna sheria hiyo." Katika miungano ya kweli Federal law supersedes state law, lakini hili muungano wazanzibar wanahisi wao ni nchi. Kuna kero chungu mzima zinazotokana na utata wa hili limuungano. Kuna gharama kubwa sana kuendesha limuungano hili, Marais wawili, mmoja amekuwa kama TV, remote ipo magogoni. Jimbo la Zanzibar lina makamo wa Rais wawili, mmoja kazi yake ni kupakia mikaa/mihogo ndani ya ndege ya Rais. Hizi gharama zote zisingekuwepo kama tungekuwa na Rais mmoja na waziri wakuu wawili Tanganyika na Zanzibar.


Pamoko sanaaaaaaaaaaaaa!!!!
 
Mh Lissu amesema ukweli, mahafidhina CCM wamebaki kilaghai watu. Kama kura zitapigwa, Wazanzibar wengi hawataki muungano huu feki
 
Hakuna nchi duniani yenye aina ya muungano kama wetu huu, yaani wanatuona like mazombi, je kuna mashiko gani ya ya kuendelea na muungano unaotufilisi watanzania, kwanini tuogope kuuvunja limuungano hili lisilofaa, linalotukondesha kila siku, Miaka 50 bado ni masikini, viongozi wapimwe akili kama wana uwezo wa kuongoza au la! haiwezekani naibu waziri wa elimu anakwenda ughaibuni anatoa speech kuwa tanzania ilipata uhuru mwaka 11964, pia ni muungano wa zanzibar na zimbabwe, ingekuwa nchi za wenzetu huyu alistahili shaba tu, IQ ya viongozi wetu ni ndogo sana i think ni below 20% hakika, ndio maana hawatambui nyakati hata kidogo. Hata waziri mkuu anadiliki kusema kuwa "WAPIGWE TU MAANA TUMECHOKA SASA" ni kweli wamechoka tena sana.
 
Back
Top Bottom