klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
kaka unaspy lakini uko fiti?????? sio unaspy kumbe umeoza kwa mdada , halaf unakuja kukuta ya kuyakuta unakuja kuishia wodi ya VIP ya mirembe. pima nguvu zako kabla ku go ahead na uspy wako.Wadau nisaidieni demu wangu ana simu nokia 2600c, nyendo zake zimebadika sana kila tukionana jioni nakuta no na sms zote kadelete kabakisha zangu tu tofauti na zamani.
Mfano asbh nareset call duration to 0:00 lakini akirudi jioni nakuta call duration imekula muda zaidi ya muda wa call log
Kwa wataalam wa cm hakuna kasoftware au nanma yoyote naweza baini no zilizopigwa?
-THE END-