Iyo ni real, ni full udini, nmeshashuhudia tukibebwa!
Fmb ar u using gmail o yahoo mail?plz reply
Niko NSSF HQ.....that is proof
Niko NSSF HQ.....that is proof
hiyo ni kweli,mbona waislamu wengine hawajaitwaMim ni muislam na nina sijda na nina vigezo vyote vnavyotakiwa lakin tokea mwaka 2011 naomba kaz waktoa nafas na cijawah kuitwa hata interview na hizi za operation officers nimeomba tena kwa wakat na nimekdh vgezo vyote wanavyotaka na cijaitwa na c mim tu kuna rafk yangu anaitwa omari hajaitwa na anaaply kila waktangaza kaz.hi dhana c yakweli kabxa,je mmefatilia TRA,TANAPA,TPA,LAPF,TANROADS,HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI? huko kote ni wagala wala nguruwe lakin hujaskia waislam wakikoment hum jf,kuwen civilized,nawaomba nssf wafuatilien kwa makin hawa wakristo hapo HQ ndyo wanaoleta hz hoja chafu humu jf ambzo hazna msingi,swala la kuswali ofcn n utartbu wa mtu na c wa shirika,mkumbuke ibada za waislam znakwenda kwa muda usifananishe na misa yakwanza na ya pili.
Wadau email zimetumwa na DOMINIC MBWETE huyu nae ni Muislam?
Kutumiwa za tra ndio.umejiona unasifa sana,kaa basi usubiri leo labda itaingiaJamani mbona email hiyo hainifikii mimi,ama kwakua sio upande ule mwingine wa dini!!?Mbona za TRA zimeingia bila shida!
Niko NSSF HQ.....that is proof
Kuna huyu kijana ana ID ya ocampo four yupo hapo nssf HQ,haka ni kagalatia kwsha kazi,kenyewe kamepata kaz hapo halafu kanadanganya wenzake nakauliza yeye amepataje na jina lake ni la kikristo na nimesoma nae namfaham barabara,na nikipata namba ya cm ya mkurugenz namwanika kwa majina yote matatu aadhbiwe kinidham mana analeta uchochez wa kdn.wewe ocampo nitaweka taarifa zako hapa jamvin viongoz wa nssf HQ wakuone wakuadabishe kwa nin unachochea udin hum jf? wew n mkristo umepataje kazi nssf na tuliapply pamoja na vigezo tunafanana,koz moja,chuo kmoja na GPA 4.2 nimekuzid najua mana nakujua vzuri na mim hata interview sikuita wew mla nguruwe umeitwa leo unapotosha watu hapa na kama o-level nimesoma ILBORU na a-level MZUMBE na ni muislam pure na hata hz za juz nimekosa,kama n udni mbna wengne hatupat na c mim tu nipo na waislam wengi,acha ujinga umepata ajira unaleta upuuz wenzako wanaztafta huku mtaani ngoja nikuanike upgwe memo ujitambue mana hujajitambua bdo.,na hata ukpgwa ban ntapeleka vielelezo nssf HQ
Wewe aidha umetumwa na Chiku au ni Chiku mwenyewe mbona povu linakutoka?Aliyekwambia kazi ni GPA nani?Uislamu NSSF hauhitaji darubini kuuona ni kitu kiko wazi kabisa.