NSSF wameita for interview

NSSF wameita for interview

sawaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
201
Reaction score
31
check e-mail zenu wameita written interview nafasi za operations officers
 
check e-mail zenu wameita written interview nafasi za operations officers

Mimi pia nimetumiwa email, chekini wadau. Tupeane hints za huko jamani wengine ndio interview ya kwanza.
 
Kama huna sigida hilo halikuhusu a majina ya akina Peter,George na mabinti wasiovaa hijabu fanyeni mengine tu ya muhimu.
Hhahahahaha uko sahihi asilimia 100% Mkuu, kama siyo wa ule upande wa pili wala usisumbuke hata kuja interview.....
 
kuna jamaa yangu wa HQ aliniambia ...duh kumbe ni kweli...hadi sehemu ya swala ipo ofisini..ni kweli jamani?
 
Mimi pia nimetumiwa email, chekini wadau. Tupeane hints za huko jamani wengine ndio interview ya kwanza.
Mkuu na mimi wameniita kwa written interview ila sijui huwa wanauliza vitu gani.
 
Mimi pia nimetumiwa email, chekini wadau. Tupeane hints za huko jamani wengine ndio interview ya kwanza.
nasikia hizo post niza kina ndugu zetu katika imani wakina mudi,dulla,rama,side na wengine wa jamii ya kanzu kwa hijabi
 
Karibuni NSSF, karibuni kwenye Shirika la kweli la Serikali la maendeleo, Karibuni muone na mjifunze ustaarabu wa kazi.
 
Jamani mbona email hiyo hainifikii mimi,ama kwakua sio upande ule mwingine wa dini!!?Mbona za TRA zimeingia bila shida!
 
Back
Top Bottom