NSSF wameita for interview

NSSF wameita for interview

tehe tehe tehe tusubiri jamaa aondoke ndo maana shiiiiiiiiiida
 
Kama R Dau bado yupo basi Wagalatia sahauni kazi NSSF
 
Jamani mbona email hiyo hainifikii mimi,ama kwakua sio upande ule mwingine wa dini!!?Mbona za TRA zimeingia bila shida!

Nimecheki na mimi kimya halafu am a christian..

Eeeh...Mungu Tukumbuke Nasi..Mtaani kugumu Mweh.
 
Mim ni muislam na nina sijda na nina vigezo vyote vnavyotakiwa lakin tokea mwaka 2011 naomba kaz waktoa nafas na cijawah kuitwa hata interview na hizi za operation officers nimeomba tena kwa wakat na nimekdh vgezo vyote wanavyotaka na cijaitwa na c mim tu kuna rafk yangu anaitwa omari hajaitwa na anaaply kila waktangaza kaz.hi dhana c yakweli kabxa,je mmefatilia TRA,TANAPA,TPA,LAPF,TANROADS,HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI? huko kote ni wagala wala nguruwe lakin hujaskia waislam wakikoment hum jf,kuwen civilized,nawaomba nssf wafuatilien kwa makin hawa wakristo hapo HQ ndyo wanaoleta hz hoja chafu humu jf ambzo hazna msingi,swala la kuswali ofcn n utartbu wa mtu na c wa shirika,mkumbuke ibada za waislam znakwenda kwa muda usifananishe na misa yakwanza na ya pili.
 
Mim ni muislam na nina sijda na nina vigezo vyote vnavyotakiwa lakin tokea mwaka 2011 naomba kaz waktoa nafas na cijawah kuitwa hata interview na hizi za operation officers nimeomba tena kwa wakat na nimekdh vgezo vyote wanavyotaka na cijaitwa na c mim tu kuna rafk yangu anaitwa omari hajaitwa na anaaply kila waktangaza kaz.hi dhana c yakweli kabxa,je mmefatilia TRA,TANAPA,TPA,LAPF,TANROADS,HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI? huko kote ni wagala wala nguruwe lakin hujaskia waislam wakikoment hum jf,kuwen civilized,nawaomba nssf wafuatilien kwa makin hawa wakristo hapo HQ ndyo wanaoleta hz hoja chafu humu jf ambzo hazna msingi,swala la kuswali ofcn n utartbu wa mtu na c wa shirika,mkumbuke ibada za waislam znakwenda kwa muda usifananishe na misa yakwanza na ya pili.

TRA, TANAPA, PPF waislamu ni wachache sana. TRA kumejaa wachagga kwa sababu ya Kitilya
 
TRA ni ya wachaga au ya wa TANZANIA? mbna makafir wakchaga na wahaya wapo weng huko majna ya abdala n machache mno,mbna watu hawasem? waislam walipolisaidia taifa kupata uhuru kutoka kwa makafir waingereza wakiristo walikuwa kmya wakiogopa kufukuzwa kwenye shule za mission zakikafiri walizokuwa wanasma nakufanya kaz huko,waislam wakamsimamisha nyerere wakapambana wakijtolea kwa hali na mali zao kupgania uhuru,gari lakwanza la TANU limetolewa na muislam (LAND ROVER),nyerere akikir kwenye hutba zake kuwa wazee wapwan waliamlazmsha afunge siku 3 huku wakimsomea aya mbalimbali za qorani,ili akaweze kuongea na kafiri malikha muingereza aweze kuliachia taifa la tanganyika lijitawale,mwisho waislam wote wapganaj walifungwa nakunyanyaswa leo hawakumbukw tena,achen upuuz wenu leo mnaiba tu pato la taifa hili,watu wapo kmya leo RAMADHAN DAU kuwa mkuu wa NSSF kila kafiri roho ju,ila huko WORLD VISION hamsem na nchi n moja na haina dini.
 
Hhahahahaha uko sahihi asilimia 100% Mkuu, kama siyo wa ule upande wa pili wala usisumbuke hata kuja interview.....

Natamani nchi hii tufundishane adabu siku moja . Tunadharauliana sana. Nadhani Kenya now adabu inaanza kurudi
 
wavaa vipedo sasa ndio muda wao
kunasiku member mmoja aliandika hivi wale wahitimu wa chuo cha morogoro wanaennda wapi?? sasa ndio mtajua pango lao la ajira limefunguliwa
 
Ramadhani Dau ongeza idadi ya
waislamu NSSF bado ni wachache
sana. Angalia mwenzako Kimei
amejaza wakristo tupu CRDB. Kitilya
alijaza wakristo tupu TRA. NMB
hakuna waislamu kabisa.
 
Ramadhani Dau ongeza idadi ya
waislamu NSSF bado ni wachache
sana. Angalia mwenzako Kimei
amejaza wakristo tupu CRDB. Kitilya
alijaza wakristo tupu TRA. NMB
hakuna waislamu kabisa.


Seriously! Ndo tumefika huku. Tuko hapa kukemea udini sio kuchochea jamani. #just sayin
 
Iyo ni real, ni full udini, nmeshashuhudia tukibebwa!
 
Back
Top Bottom