tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,243
- 4,467
Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuruhusu mifuko ya mafao kama NSSF na PSSSF kushindana katika soko. NSSF iongezewe wigo wa kuvutia wanachama toka serikali, na PSSSF pia ipewe nafasi ya kuingiza wanachama toka sekta binafsi.
Vivyo hivyo kuwapo kwa mfuko mmoja wa Bima ya Afya ya Taifa, ni kosa, kunaondoa ushindani. Kuwe na walau mfuko mwingine, na hii mifuko ishindane ili kuvutia wanachama.
Vivyo hivyo kuwapo kwa mfuko mmoja wa Bima ya Afya ya Taifa, ni kosa, kunaondoa ushindani. Kuwe na walau mfuko mwingine, na hii mifuko ishindane ili kuvutia wanachama.