NSSF na Infrastructure Investment: Kigamboni Bridge, IPP, Road Construction.. ???

NSSF na Infrastructure Investment: Kigamboni Bridge, IPP, Road Construction.. ???

mkuu..Gurudumu... umetuletea thread kule kwenye Business and Economy halafu umekimbia... rudi nyumba ndogo bana

Sawa mkuu, asante kunikumbusha. Ujue tangu jana nilitingwa hadi jioni hii. Na kwa kuwa niko addicted na hili jukwaa basi nikaanzia hapa. nakuja mkuu
 
NSSF wanataka kupoza HARUFU YA DOWANS iliyotapakaa nchi nzima.:bump:
 
Ivi huwa hakuna suala la kutafuta concern ya wanachama?
Manake NSSF hutumiwa sana kucheza rafu kuna watu mpaka huwa wanakopeshwa ela ya NSSF
 
Nimesoma hiyo document ya Pension Watch pekee (kudownload inakula credit). Angalau nimepata point chache.

We do not have policy and regulations for such joint venture between gov and pension funds, do we?
How was the decision that NSSF should invest in these projects reached, transparency, competative bidding, and participation of members?
Has NSSF done analysis of its ability to engage in these risky ventures and do they have ways to mitigate any unforsee and forsee risks?

Mzee Mwanakijiji,

Nimezisoma zote hizo mbili za mwanzo kwakweli hakuna cha muhimu kilichozungumziwa zaidi ya siasa tu. Kama alivyosema Gurudumu at least hii ya mwisho ya Pension Watch imezungumzia zaidi but haijachambua vya kutosha kwani Pension funds and Other thrift institutions zimekuwa zikijiingiza si tu katika infrastructure bali hata kwenye financial markets particularly kuwekeza katika makampuni makubwa kwa kununua shares na kukopesha kwenye bond markets.

Tuje katika madai ya kwamba hakuna misingi ya kuregulate hizi thrift institution hilo sio kweli na infact mnaosema hili hamjafanya your homework vizuri. Banking and Financial Institution Act ya mwaka 1991 ilikuja kufungua mianja ya sekta ya fedha na ikaweka misingi ya vp hiyo sekta iendeshwe. Vile vile Bank of Tanzania Act ya mwaka 1995 iliweka misingi ya vipi hizi sekta za fedha ziwe zinasimamiwa. Pia katika industry husika (social security) kuna Act mbali mbali zilianisha utaratibu wa kuendeshwa kwa hizo sekta. National Provident Fund of 1964 amended in by the Nationa Social Security Act of 1997, Parastatal Pension Fund of 1978 , Public Services Retirement Benefit Act of 1999 and National Health Insurance Act of 1999 na LAPF Act of 2000. Hivyo wanandugu framework zipo na zimekaa vizuri kwani mfumo wake hauna tofauti sana na uliopo katika nchi za Marekani na UK.

Kuhusu lack of regulator of these pension funds and insurance companies at the moment Bank of Tanzania ndio msimamizi wao mkuu but serikali iko katika mchakato wa kuanzisha hilo nadhani walianzisha Social Security Regulatory Authority Act 2008 . Nadhani mwaka jana walikuwa wako mbioni kwani walikuwa wanatafuta Director General wa Regulator. Nakumbuka tarehe 2 January 2011 walitangaza kuwa itakuwa operational this September 2011. Kwahivyo serikali inajiandaa kulitekeleza hilo but Bank of Tanzania still ina perform function ya kuregulate.

Ijapokuwa hiyo Authority haijawa operational hakumaanishi ya kwamba hizi Thrift institutions zisijipanue. Basle 2 ilipokuja iliweka kiwango cha mwisho hizi financial institutions zinatakiwa ziwe na pesa katika balance sheet zao ili kuziwezesha ziweze kuwekeza katika sekta mbali mbali. Hili lilifanywa kwasababu ilionekana hizi institutions zinahela nyingi but zimebanwa mno na usimamizi. Ndio maana ukaona PPF, NSSF zikaanza kujitanua kuwekeza katika majengo na sekta zenginezo. Nia na madhumuni kwanza kupunguza hizi institutions kukaa na pesa nyingi katika mifuko yao (kitu kinachoweza kuchochea ufisadi na mifano ipo kuna thread humu DG wa PPF anatuhumiwa kuiba milioni 500 unadhani chanzo kikuu nini?) , Pili hizi sekta zikikaa na pesa nyingi zinakuwa hazitanuki kimaendeleo na matokeo ni kuwa poor services na kadhalika. Tatu zikitanuka zinachochea maendeleo katika jamii.

Sio kila kitu waungwana muweke conspiracy theory kuna vitu vengine acheni taaluma za watu zifanye kazi zao kwani wanajua wanachokifanya. Moja ya watu wanaojua nini wanafanya ni Dr Dau and I support him kwani it makes sense anachokifanya sio yule anayepita akihonga akina mama na kuzila pesa hovyo!!!!
 
Kwa kuongezea kiutendaji:

Msimamizi wa LAPF - Ofisi ya waziri mkuu.

Msimamizi wa NSSF - Wizara ya utumishi vijana na kazi.

Msimamizi wa PPF, PSPF, GEPF - Wizara ya Fedha.

Msimamizi wa NHIF - Wizara ya Afya.

Ni hayo tu.
 
Mzee Mwanakijiji,

Nimezisoma zote hizo mbili za mwanzo kwakweli hakuna cha muhimu kilichozungumziwa zaidi ya siasa tu. Kama alivyosema Gurudumu at least hii ya mwisho ya Pension Watch imezungumzia zaidi but haijachambua vya kutosha kwani Pension funds and Other thrift institutions zimekuwa zikijiingiza si tu katika infrastructure bali hata kwenye financial markets particularly kuwekeza katika makampuni makubwa kwa kununua shares na kukopesha kwenye bond markets.

Tuje katika madai ya kwamba hakuna misingi ya kuregulate hizi thrift institution hilo sio kweli na infact mnaosema hili hamjafanya your homework vizuri. Banking and Financial Institution Act ya mwaka 1991 ilikuja kufungua mianja ya sekta ya fedha na ikaweka misingi ya vp hiyo sekta iendeshwe. Vile vile Bank of Tanzania Act ya mwaka 1995 iliweka misingi ya vipi hizi sekta za fedha ziwe zinasimamiwa. Pia katika industry husika (social security) kuna Act mbali mbali zilianisha utaratibu wa kuendeshwa kwa hizo sekta. National Provident Fund of 1964 amended in by the Nationa Social Security Act of 1997, Parastatal Pension Fund of 1978 , Public Services Retirement Benefit Act of 1999 and National Health Insurance Act of 1999 na LAPF Act of 2000. Hivyo wanandugu framework zipo na zimekaa vizuri kwani mfumo wake hauna tofauti sana na uliopo katika nchi za Marekani na UK.

Kuhusu lack of regulator of these pension funds and insurance companies at the moment Bank of Tanzania ndio msimamizi wao mkuu but serikali iko katika mchakato wa kuanzisha hilo nadhani walianzisha Social Security Regulatory Authority Act 2008 . Nadhani mwaka jana walikuwa wako mbioni kwani walikuwa wanatafuta Director General wa Regulator. Nakumbuka tarehe 2 January 2011 walitangaza kuwa itakuwa operational this September 2011. Kwahivyo serikali inajiandaa kulitekeleza hilo but Bank of Tanzania still ina perform function ya kuregulate.

Ijapokuwa hiyo Authority haijawa operational hakumaanishi ya kwamba hizi Thrift institutions zisijipanue. Basle 2 ilipokuja iliweka kiwango cha mwisho hizi financial institutions zinatakiwa ziwe na pesa katika balance sheet zao ili kuziwezesha ziweze kuwekeza katika sekta mbali mbali. Hili lilifanywa kwasababu ilionekana hizi institutions zinahela nyingi but zimebanwa mno na usimamizi. Ndio maana ukaona PPF, NSSF zikaanza kujitanua kuwekeza katika majengo na sekta zenginezo. Nia na madhumuni kwanza kupunguza hizi institutions kukaa na pesa nyingi katika mifuko yao (kitu kinachoweza kuchochea ufisadi na mifano ipo kuna thread humu DG wa PPF anatuhumiwa kuiba milioni 500 unadhani chanzo kikuu nini?) , Pili hizi sekta zikikaa na pesa nyingi zinakuwa hazitanuki kimaendeleo na matokeo ni kuwa poor services na kadhalika. Tatu zikitanuka zinachochea maendeleo katika jamii.

Sio kila kitu waungwana muweke conspiracy theory kuna vitu vengine acheni taaluma za watu zifanye kazi zao kwani wanajua wanachokifanya. Moja ya watu wanaojua nini wanafanya ni Dr Dau and I support him kwani it makes sense anachokifanya sio yule anayepita akihonga akina mama na kuzila pesa hovyo!!!!
Mawazo yako yapo sawa lkn mm nina ndugu waliokuwa NBC wakastaafu miaka hiyo hela hawakupewa hadi watakapofikisha miaka 55, miongoni mwao wanakufa huku hayo Mashirika yanagema tu na kuwakopesha kina Manji Waziri Mkuu wa zamani huku wenye kuchangia hawafaidiki chochote.
Kwa nini wanaowekeza wasipate riba km mabenki yanavyotoza?
Wanawekeza katika Majengo, Vyuo na kupata faida je? mchangiaji atafaidika nini hapo, kusomesha bure? au kupanga hayo Majengo?
Hao wakuu (Wajumbe wa Bodi) wenyewe wanagawana viinua migongo vya ajabu wakati wafanyakazi na wachangiaji hawapati chocote.
siku ukifuatilia mafao ni mwaka hata mitatu na hata mrithi akifuatila ni usumbufu mtupu.
Hao mliowataja kina Dr Dau, Mustafa Mkullo, wanawajua wachangiaji au kuikopesha Serikali tu na kuficha madhambi?
 
Mawazo yako yapo sawa lkn mm nina ndugu waliokuwa NBC wakastaafu miaka hiyo hela hawakupewa hadi watakapofikisha miaka 55, miongoni mwao wanakufa huku hayo Mashirika yanagema tu na kuwakopesha kina Manji Waziri Mkuu wa zamani huku wenye kuchangia hawafaidiki chochote.
Kwa nini wanaowekeza wasipate riba km mabenki yanavyotoza?
Wanawekeza katika Majengo, Vyuo na kupata faida je? mchangiaji atafaidika nini hapo, kusomesha bure? au kupanga hayo Majengo?
Hao wakuu (Wajumbe wa Bodi) wenyewe wanagawana viinua migongo vya ajabu wakati wafanyakazi na wachangiaji hawapati chocote.
siku ukifuatilia mafao ni mwaka hata mitatu na hata mrithi akifuatila ni usumbufu mtupu.
Hao mliowataja kina Dr Dau, Mustafa Mkullo, wanawajua wachangiaji au kuikopesha Serikali tu na kuficha madhambi?

Mkuu Pension funds kazi yake sio kukopesha watu kama mimi na wewe. Wanawakopesha corporate na large institutions ambao wanakuwa na credit risk exposure ndogo ndio maana akina Mbowe, Manji na Mengi walitumia majina ya makampuni yao kukopa ijapokuwa sadly wanadaiwa wengineo mpaka leo na hakuna matumaini ya kulipa. Ukitaka mkopo nenda katika Benki (Commercial Banks), Credit Society, Savings and Credit associations etc na sio kwenye Pension funds.

Faida yake ni kwamba unapostaafu unalipwa marupurupu ya kustaafu ambayo inabidi yafanyiwe utafiti kuona yanaendana na maisha halisi (which I have to admitt hapa wakurugenzi wa hizi pensions sijui wanatumia vigezo gani kupima), ukipata ajali una insurance utalipwa vizuri tu, ukiwa na matatizo kazini una insurance kama mwajiri wako anakukatia utalipwa. Mimi na wewe tunaweza kufaidika na pensions katika mikopo mfano ya nyumba kwa kutumia let us say a certain building company ambayo wanaingia mkataba na hizi pensions na sisi kama wateja tunaweza kukopa ka gharama nafuu tukiweka mishahara yetu na akiba kama security of default.

Mwisho ukwaju tafadhali usimuweke sawa Dr Dau na Mustafa Mkulo unamdhalilisha Dr Dau ni watu wawili tofauti kiufanisi na utendaji.
 
Mkuu Pension funds kazi yake sio kukopesha watu kama mimi na wewe. Wanawakopesha corporate na large institutions ambao wanakuwa na credit risk exposure ndogo ndio maana akina Mbowe, Manji na Mengi walitumia majina ya makampuni yao kukopa ijapokuwa sadly wanadaiwa wengineo mpaka leo na hakuna matumaini ya kulipa. Ukitaka mkopo nenda katika Benki (Commercial Banks), Credit Society, Savings and Credit associations etc na sio kwenye Pension funds.

Faida yake ni kwamba unapostaafu unalipwa marupurupu ya kustaafu ambayo inabidi yafanyiwe utafiti kuona yanaendana na maisha halisi (which I have to admitt hapa wakurugenzi wa hizi pensions sijui wanatumia vigezo gani kupima), ukipata ajali una insurance utalipwa vizuri tu, ukiwa na matatizo kazini una insurance kama mwajiri wako anakukatia utalipwa. Mimi na wewe tunaweza kufaidika na pensions katika mikopo mfano ya nyumba kwa kutumia let us say a certain building company ambayo wanaingia mkataba na hizi pensions na sisi kama wateja tunaweza kukopa ka gharama nafuu tukiweka mishahara yetu na akiba kama security of default.


mkuu mdodoaji..heshima kwanza... nini faida ya pesa za mwanachama kukaa kwenye mfuko kwa muda mrefu .. kwani mabenki yanayokopesha savings account holders hawapati faida .... wanaoufanya mfuko huu uwe treasure ni nani ..si wanachama .... who is a coprporate entitity ... kuwa na kampuni si usanii tuu ... lets be considerate kwenye public institutions especially mainobjective ya mfuko ni social security... sidhani kama ni sahihi ukamnufaisha mstaafu kwa kumtunzia michango yake tu ... ukizingatia hujamtengenezea msingi wa kupambana na maisha ya kustaafu kabla hajazeeka ... tena hiyo pesa ya pension mara nyingi inaingia kwenye mikono michafu ya watu wenye tamaa
 
Dr Dau ana mtoto wake ambaye wengi hapa JF wanamfahamu na ndio mpiga debe wake. Huyu ni mwizi tu kama akina EL Chenge etc. Mpambeni mnavyotaka lakini ni Fisadi mojawapo.
 
mkuu mdodoaji..heshima kwanza... nini faida ya pesa za mwanachama kukaa kwenye mfuko kwa muda mrefu .. kwani mabenki yanayokopesha savings account holders hawapati faida .... wanaoufanya mfuko huu uwe treasure ni nani ..si wanachama .... who is a coprporate entitity ... kuwa na kampuni si usanii tuu ... lets be considerate kwenye public institutions especially mainobjective ya mfuko ni social security... sidhani kama ni sahihi ukamnufaisha mstaafu kwa kumtunzia michango yake tu ... ukizingatia hujamtengenezea msingi wa kupambana na maisha ya kustaafu kabla hajazeeka ... tena hiyo pesa ya pension mara nyingi inaingia kwenye mikono michafu ya watu wenye tamaa

LAT,

Kwanza ujue kuwa fedha zinazoenda katika Pension funds ni mikataba ambayo tunatakiwa kuingia nayo kwa mujibu wa sheria (Nazo ni kutoka ILO na Wizara ya kazi, sheria za barabarani na sheria za usalama) hivyo kusema kwakuwa tunawapa kwa mtindo wa umiliki kwa madai watukopeshe sio sahihi kwasababu wewe unazitoa zile pesa kwa mujibu wa kisheria na hujafanya window shopping kujua nani anakupa favorable terms ili umpe pesa yako kama tunavyofanya kwenye mabenki ya biashara (Commercial Banks). Hivyo basi wao hawana ulazima wa kuwapa hizo pesa za mkopo na infact mfano marekani pension funds haziruhusiwi kukopesha watu kama mimi na wewe. Vilevile hawaruhusiwi hata kukopesha kampuni zenye ratings (Corporate ratings) below BBB hivyo unaona jinsi gani walivyokuwa tighten by the regulation.

Labda cha msingi ni bureaucracy na malipo yao yanahitaji kuwa reviewed kwa kweli maana hayamnufaishi mteja. Hapa nakubali mkuu kuwa hayawanufaishi wadau maana ni aibu aisee wewe hebu fikiri mtu analipwa mafao 50,000 kila mwezi kweli ni haki!!! yaani hadi kichekesho nadhani wanahitaji kuboresha haya masuala.
 
Mdondoaji, kuna mfumo gani wa usimamizi na uangalizi wa fedha za wafanyakazi zitakapoingizwa kwenye uwekezaji mkubwa namna hii? Je zinakuwa katika risk ya namna gani (kiuchumi, kisiasa na kiutawala) kiasi cha kwamba wanachama wawe na matumaini kuwa fedha zao ziko salama?

Je, mifumo hiyo iliyopo sasa hivi imezuia kwa kiasi gani upotevu wa fedha za mifuko hiyo au matumizi mabaya ya fedha hizo? Je mifuko hiyo ina rekodi katika kusimamia fedha zilizoko chini yake?
 
Ufisadi???????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwamba infrasctructure cost ni kubwa kwa hiyo 10 percent itakuwa kubwa kuliko hela ingekaa benki au tungekopesha wanachama.

Tatizo letu TZ mipango inapangwa kwa maslahi binafsi ya viongozi/mafisadi.
 
Mdondoaji, kuna mfumo gani wa usimamizi na uangalizi wa fedha za wafanyakazi zitakapoingizwa kwenye uwekezaji mkubwa namna hii? Je zinakuwa katika risk ya namna gani (kiuchumi, kisiasa na kiutawala) kiasi cha kwamba wanachama wawe na matumaini kuwa fedha zao ziko salama?

Je, mifumo hiyo iliyopo sasa hivi imezuia kwa kiasi gani upotevu wa fedha za mifuko hiyo au matumizi mabaya ya fedha hizo? Je mifuko hiyo ina rekodi katika kusimamia fedha zilizoko chini yake?

Mzee mwenzangu,

Kwanza ujue kuwa hizi pensions haziwezi kuwekeza kuzidi kiwango cha mapato yao na kuna kiwango maalumu cha kuwekeze wakizidi hapo wanaweza kupigwa faini au kuweza kusitishwa na BOT kazi yake ndio kumonitor hizi thrift institution na kuhakikisha zipo solvency for stability of Tanzania economy and her Financial market.

In terms of risk assessment hawa financial institutions wanatakiwa kufanya review of their risks assesment every after a certain period of time. Nadhani hili lilitoka na circular ya Banking and Financial regulation ya mwaka 1997. Hivyo sidhani wanaachiwa tu hivi hivi wajifanyie wanavyotaka. Kumbuka hizi pension zikicollapse uchumi wa Tanzania unacollapse kabisa. Hivyo ni wajibu wa BOT kusimamia kama moja ya kazi zake.
 
Ufisadi???????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwamba infrasctructure cost ni kubwa kwa hiyo 10 percent itakuwa kubwa kuliko hela ingekaa benki au tungekopesha wanachama.

Tatizo letu TZ mipango inapangwa kwa maslahi binafsi ya viongozi/mafisadi.

Common you guys,

Wakiziweka pesa benki unadhani watakuja kuwa pesa za kuweza kukukopesha wewe nyumba za gharama za bei nafuu? Binafsi kukopesha wanachama sikubaliani nalo maana watanzania sisi hatuna maadili ya kulipa mikopo ndio maana mabenki mengi sasa yamefuta mikopo isiyokuwa na rehani (unsecured loans) kwasababu benki nyingi zimekuwa zikikopesha watu hawalipi. HIVYO KWANZA TUNGELIANZA TABIA YA KUWA WAADILIFU WA KULIPA MIKOPO YETU NDIO TUWAOMBE WATUKOPESHE.

Wakijenga daraja wanakopesha mteja ambaye ni serikali pesa nyingi ambazo hata akiweka interest ya 8% for 10 Billion Tshs investment (ni kama 640,000,000 million Tshs). Serikali ina low chance ya kudefault, pili wanakopesheka (ndio maana commercial banks zinapigana vikumbo katika Tbills), tatu ni faida nzuri sana inayoweza kusaidia pension fund ipanuke.
 
Mzee mwenzangu,

Kwanza ujue kuwa hizi pensions haziwezi kuwekeza kuzidi kiwango cha mapato yao na kuna kiwango maalumu cha kuwekeze wakizidi hapo wanaweza kupigwa faini au kuweza kusitishwa na BOT kazi yake ndio kumonitor hizi thrift institution na kuhakikisha zipo solvency for stability of Tanzania economy and her Financial market.

In terms of risk assessment hawa financial institutions wanatakiwa kufanya review of their risks assesment every after a certain period of time. Nadhani hili lilitoka na circular ya Banking and Financial regulation ya mwaka 1997. Hivyo sidhani wanaachiwa tu hivi hivi wajifanyie wanavyotaka. Kumbuka hizi pension zikicollapse uchumi wa Tanzania unacollapse kabisa. Hivyo ni wajibu wa BOT kusimamia kama moja ya kazi zake.


Hayo unayoyasema yamazuia vipi ufisadi katika financial sector yetu hadi hivi sasa? au katika parastal organizations?
 
Hayo unayoyasema yamazuia vipi ufisadi katika financial sector yetu hadi hivi sasa? au katika parastal organizations?

Unajua kilichoua Tanzania Housing Bank? Unajua kilichotaka kuiua NBC mpaka ikawa split into Two? Hao international consultancies wanaokuja kufanya utafiti wengi wanaogopa kusema ila ndio linalochangia kufa kwa financial institutions nyingi nalo ni ufisadi na kukosekana kwa uwajibikaji kwenye Bank na Financial Institutions. Umesahau lile scandal la Mkulo pale NSSF? Sasa hivi tuna Scandal ya Erio sijui Urio wa PPF yote inachangiwa na systemic risk iliyopo katika financial institutions ambayo ni bad governance.
 
Hivi NSSF inawezaje ku-recover investments kwenye barabara? I am a little bit confused.

Mkuu, wamesema wataweka vituo vya kukusanya pesa kwenye barabara mpaka pesa zao zitakaporudi then wanakabidhi barabra hiyo kwa serikali. Kwahiyo ukipita na gari lako sehemu watakakojenga barabra unalipia.
 
Kwa hivyo inatakiwa tufanyaje? Tuache kujaribu kuleta maendeleo kwasababu tanroads, atc na tanesco vimekufa.. Tanroads wamekuwa na mafanikio makubwa katika miaka kadha kisha matatizo yakaanza, tanesco imekufa kwasababu ya mikataba yaajabu ya IPTL, Aggrecco sijui (chenge, Mary ndosi,etc). Kwamaana nyingine unataka nchi isimame kwasababu kuna rushwa? That makes no sense.

Mkuu nadhani hujanielewa, nilikuwa naijibu hoja yako ya kwa nini NSSF washindwe? Nilichofanya ni kupanua mjadala in the meaning of kwa nini kila mahali tunaonekana kushindwa and all of a sudden NSSF inayoendeshwa na watanzania walewale, katika nchi ile ile na taratibu zile zile wakarun their poroject smoothly?

In fact NSSF watakuwa wanajidanganya na pia kutudanganya kutuaminisha kwamba they can do all that because they have money! And this is where the danger lies! What I would suggest for NSSF nik kufanya joint ventures na makampuni au firms zenye utaalamu wa miradi wanayotaka kuifanya. Of which in most cases utakuta kampuni na firms nyingi ndogondogo ambazo ziko succesful huwa zinakuwa na tatizo la mitaji and NSSF has the money.
 
Mkuu nadhani hujanielewa, nilikuwa naijibu hoja yako ya kwa nini NSSF washindwe? Nilichofanya ni kupanua mjadala in the meaning of kwa nini kila mahali tunaonekana kushindwa and all of a sudden NSSF inayoendeshwa na watanzania walewale, katika nchi ile ile na taratibu zile zile wakarun their poroject smoothly?

In fact NSSF watakuwa wanajidanganya na pia kutudanganya kutuaminisha kwamba they can do all that because they have money! And this is where the danger lies! What I would suggest for NSSF nik kufanya joint ventures na makampuni au firms zenye utaalamu wa miradi wanayotaka kuifanya. Of which in most cases utakuta kampuni na firms nyingi ndogondogo ambazo ziko succesful huwa zinakuwa na tatizo la mitaji and NSSF has the money.

Nyambala,

Kuna tofauti kubwa baina ya project inayokuwa inasimamiwa na public institution na financial institution (either private or public). NSSF wao wanataka faida hivyo ufisadi unakuwa mdogo kwani ufatiliaji na auditing inakuwa iko makini. Serikali ni shamba la bibi kila mmoja anakula kivyake. Ni mpaka tutakapokuwa wakali na kodi zetu ndio tutaona umakini wa serikali otherwise wacha hawa jamaa watusaidie tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom