Mbona umesahau kuitaja Muhimbili?Pamoja na mambo mengine kilichopelekea maboss wa NSSF kutenguliwa jana ni upendeleo katika ajira. Leo gazeti la Jamhuri limeonyesha jinsi Bunge linavyofanya upendeleo katika kutoa ajira.
Jana Bandari na BOT pia zililalamikiwa na taasisi ya SSRC, najua yatakuwa ni maamuzi magumu ila kwa manufaa ya taifa na kwa manufaa ya watoto wa masikini ambao hawana Godfathers katoka hizo taasisi ni sharti Rais pamoja na wizara ya utumishi itengue nafasi zote katika hizo taasisi ili ajira zitangazwe upya.
Najua kuna taratibu za kisheria ila katika hatua hii ya mpito kufata sheria sio muhimu sana la msingi ni kuhakikisha wananchi wote wanapata fursa na katika hili vijana wote watoto wa masikini na matajiri wapate fursa sawa.
Kama nchi tuko katika kipindi cha mpito. Tunamshukuru Mungu kutupa Rais Magufuli ambaye anafanya vyema sana. Tunamuomba katika hili la ajira aliangalie pia, kwenye taasisi za umma ajira zinatolewa kwa upendeleo kama njugu.
Kama >3.5 ndio hii kazi tunayoFanyeni kazi za kilimo au jiajiri, acha kuwa mnalalamika tu kila siku.
Degree zenu zitakuwa PASS, GPA >3.5 hawanaga shida maana wanaanzia kazi za kujitolea kufundisha shule za PRIVATE na Vyuo vya Private, angalau wanapata posho ya nauri, huku wakiangalia kazi mpya za serikali.
Nyie PASS ndo mnashinda mitandaoni kulalamika maana hamna mvuto kokote.
Kama >3.5 ndio hii kazi tunayoFanyeni kazi za kilimo au jiajiri, acha kuwa mnalalamika tu kila siku.
Degree zenu zitakuwa PASS, GPA >3.5 hawanaga shida maana wanaanzia kazi za kujitolea kufundisha shule za PRIVATE na Vyuo vya Private, angalau wanapata posho ya nauri, huku wakiangalia kazi mpya za serikali.
Nyie PASS ndo mnashinda mitandaoni kulalamika maana hamna mvuto kokote.
Duh! Nadhani wewe hata 'credits' utakua hauna so nenda kasafishe cheti mkuu..then urudi hapa uandike nauli sio nauri..Fanyeni kazi za kilimo au jiajiri, acha kuwa mnalalamika tu kila siku.
Degree zenu zitakuwa PASS, GPA >3.5 hawanaga shida maana wanaanzia kazi za kujitolea kufundisha shule za PRIVATE na Vyuo vya Private, angalau wanapata posho ya nauri, huku wakiangalia kazi mpya za serikali.
Nyie PASS ndo mnashinda mitandaoni kulalamika maana hamna mvuto kokote.
Ile ni Dayosisi haiguswiTanesco nalo ni jipu, piga chini wote ajira zitangazwe upya
HAPO UMENENE MKUU UMESAHAU BIMA ZA AFYAPamoja na mambo mengine kilichopelekea maboss wa NSSF kutenguliwa jana ni upendeleo katika ajira. Leo gazeti la Jamhuri limeonyesha jinsi Bunge linavyofanya upendeleo katika kutoa ajira.
Jana Bandari na BOT pia zililalamikiwa na taasisi ya SSRC, najua yatakuwa ni maamuzi magumu ila kwa manufaa ya taifa na kwa manufaa ya watoto wa masikini ambao hawana Godfathers katoka hizo taasisi ni sharti Rais pamoja na wizara ya utumishi itengue nafasi zote katika hizo taasisi ili ajira zitangazwe upya.
Najua kuna taratibu za kisheria ila katika hatua hii ya mpito kufata sheria sio muhimu sana la msingi ni kuhakikisha wananchi wote wanapata fursa na katika hili vijana wote watoto wa masikini na matajiri wapate fursa sawa.
Kama nchi tuko katika kipindi cha mpito. Tunamshukuru Mungu kutupa Rais Magufuli ambaye anafanya vyema sana. Tunamuomba katika hili la ajira aliangalie pia, kwenye taasisi za umma ajira zinatolewa kwa upendeleo kama njugu.
Idara gani Tanzania yenye watumshi Wenye sifa100% ? Tatizo la Watumishi wasio na Sifa ni Tatizo la Kitaifa Sio kiidara
Wabunge 90% Hawana sifa za kuwa Wabunge lakin ni Wabunge
Kama >3.5 ndio hii kazi tunayo
Ata nauli mtu hajui kuandika anaandika "nauri" na ana > 3.5...[emoji36] [emoji36]
Sijaelewa unajenga hoja gani na unao uhakika kwa kiasi gani. Hili litawezekana iwapo hao waajiriwa wataonekana hawana sifa. Zaidi ya hapo utakesha.Pamoja na mambo mengine kilichopelekea maboss wa NSSF kutenguliwa jana ni upendeleo katika ajira. Leo gazeti la Jamhuri limeonyesha jinsi Bunge linavyofanya upendeleo katika kutoa ajira.
Jana Bandari na BOT pia zililalamikiwa na taasisi ya SSRC, najua yatakuwa ni maamuzi magumu ila kwa manufaa ya taifa na kwa manufaa ya watoto wa masikini ambao hawana Godfathers katoka hizo taasisi ni sharti Rais pamoja na wizara ya utumishi itengue nafasi zote katika hizo taasisi ili ajira zitangazwe upya.
Najua kuna taratibu za kisheria ila katika hatua hii ya mpito kufata sheria sio muhimu sana la msingi ni kuhakikisha wananchi wote wanapata fursa na katika hili vijana wote watoto wa masikini na matajiri wapate fursa sawa.
Kama nchi tuko katika kipindi cha mpito. Tunamshukuru Mungu kutupa Rais Magufuli ambaye anafanya vyema sana. Tunamuomba katika hili la ajira aliangalie pia, kwenye taasisi za umma ajira zinatolewa kwa upendeleo kama njugu.
Duh! Nadhani wewe hata 'credits' utakua hauna so nenda kasafishe cheti mkuu..then urudi hapa uandike nauli sio nauri..
Mkuu wakose tuu usingizi maana hakuna namnaMsiwafanye wenzenu wakakosa usingizi
Aisee naunga mkono hojaNa vyuo vikuu vya umma. UDSM, SUA na UDOM zimulikwe tena sana. Kubebana kikabila na kidini.