Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
hspa+ ndo ilinipa hio speed
kaka true lte ni 100 mpaka 150mbps hao smile wamechukua network ya alcatel ngoja voda alete lte ya nokia uone mziki wake.
voda wanaleta lini lte??
hspa+ ndo ilinipa hio speed
kaka true lte ni 100 mpaka 150mbps hao smile wamechukua network ya alcatel ngoja voda alete lte ya nokia uone mziki wake.
voda wanaleta lini lte??
napataje hiyo activetion ya pd proxMkuu sijakusoma kabisa huenda hii saa sita ulikuwa umechoka na una usingizi emu nieleweshee ulichomaanisha
Unatumia sasatel au Zantel mkuu..??
napataje hiyo activetion ya pd prox
Jamani natumia PD-PROXY na speed ni nzuri inafika mpaka 2mbps ila katika IDM transfer rate haivuki 100kps nisaidien labda kuna kautundu kakuiView attachment 119153fanyia hii IDM.
wadau naomba mnijuze namna ya kujiunga na pd proxy
Naona humu ni kutamanishana bna, haya anaefika hapa anyooshe mkono. Huku nlipo when i get 2-3MBps kwenye IDM ni bad news na worse day kabisa ni around 700KBps(like really worse, tene kwa VPN)
🙂 😉
View attachment 121068
Naona humu ni kutamanishana bna, haya anaefika hapa anyooshe mkono. Huku nlipo when i get 2-3MBps kwenye IDM ni bad news na worse day kabisa ni around 700KBps(like really worse, tene kwa VPN)
🙂 😉
View attachment 121068
Wadau ninaweza unlock modem ya voda(ili ntumie line zote) na ikapiga mizigo kama kawaida kwa kutumia pd-proxy? Kwa aliyewahi fanya ivo anijuze, nisije kurupuka then nikakutana na majanga!!!!
The connection isn't great but doesn't ever go below 1MBps. First ungeuliza what connection and the secret to the great speed i'm receiving, but saying its Photoshoped. Nah, wrong move. Nice day brother 🙂This is Photoshop
Maana huwezi pata speed ya 4MB/s afu page bado page pembeni mwa ile ya Youtube inakwambia PROBLEM LOADING THE PAGE
Na ni convince haupo BONGO au kama upo BONGO basi unatumia Optic fiber vinginevyo nakaataaa
Thats my observation
mtafute jamaa anajiita njunwa wamavoko namba yake 0657209956
bei ya ku unlock ni 5000/- kama uwezi fanya mwenyewe
The connection isn't great but doesn't ever go below 1MBps. First ungeuliza what connection and the secret to the great speed i'm receiving, but saying its Photoshoped. Nah, wrong move. Nice day brother 🙂
View attachment 121270
mtafute jamaa anajiita njunwa wamavoko namba yake 0657209956
bei ya ku unlock ni 5000/- kama uwezi fanya mwenyewe