Now nashusha mzigo kwa pd proxy

Now nashusha mzigo kwa pd proxy

Jamani natumia PD-PROXY na speed ni nzuri inafika mpaka 2mbps ila katika IDM transfer rate haivuki 100kps nisaidien labda kuna kautundu kakui voda.jpg fanyia hii IDM.
 
Jamani wadau naomba kuuliza. Unawezaje kuweka SNAPSHOT kama hiyo hapo juu? Tena imewekewa na michoro/miduara & mishale kuonesha eneo husika!!!!!!
Kuna program maalum ya kufanyia hayo maujuzi????
Natamani kujua.
Nawasilisha tafadhali.

cc: #Frank G, #chief-mkwawa , #Mwl.RCT & #njunwa wamavoko.

kama unatumia windows 7 au 8 kuna tool inaitwa sniping just click start halafu andika ina icon ya mkasi click hio then bonyeza new then kata eneo unalotaka

Win8_Snipping_Tool.png
 
Jamani wadau naomba kuuliza. Unawezaje kuweka SNAPSHOT kama hiyo hapo juu? Tena imewekewa na michoro/miduara & mishale kuonesha eneo husika!!!!!!
Kuna program maalum ya kufanyia hayo maujuzi????
Natamani kujua.
Nawasilisha tafadhali.

cc: #Frank G, #chief-mkwawa , #Mwl.RCT & #njunwa wamavoko.
  • Screen Capture software zipo nyingi, kuna za bure na zinazouzwa.Baadhi yake ni hizi kwenye link.
    Code:
    [url=http://screen-capture-software-review.toptenreviews.com/]Screen Capture Software Review 2013 | Best Screenshot Software | Screen Recording Software - TopTenREVIEWS[/url]
  • Software ninayotumia kwa sasa ni SNAGIT ambayo ndio hiyo aliyotumia frank G hapo juu.
  • Angalia kazi ya snagit kwenye hii picha
 
Jamani natumia PD-PROXY na speed ni nzuri inafika mpaka 2mbps ila katika IDM transfer rate haivuki 100kps nisaidien labda kuna kautundu kakuiView attachment 119153fanyia hii IDM.

yaani wewe kwa speed yako ya Dashboard ya Modem huwezi vuka transfer rate ya 160KB/s kwenye IDM
Huenda kuna Auto-Updates ktk pc yako(za windows na baadhi ya software) ambazo nazo ziko zinadownload vitu Online ndo maana unacheza 67KB/s
 
  • Ndugu Frank G confirm ni HTTP tunnel au VPN tunnel
  • Je umesha download TGv2.5.0.0 ; Kama bado ichukue hapa

mkuu ni VPN tunnel naogopa itansumbua ka ya mkuu nurbert cz hizi server zinasumbua xana mi inakubali ya netherland tuu ambayo katika hii vision mpya haipo!
 
Last edited by a moderator:
mkuu ni simple u don need any downloaded software kutake a sreen shot just press 'FN' key+Prt Sr hizo key zotee zipo kwenye comp. ako after that click start then search paint then ifungue after that just click past icon picha ya screen ako itatokea hapo waweza edit vyovyote utakavyo hiyo miduara na mishale utaipata hapo kwenye shapes baada ya kuedit save badilisha format iwe JPEG then ok or ukishindwa jaribu na njia za mkuu #mkwawa na MWl hapo juu nazo ndo huwa natumia xana!
 
mkuu ni VPN tunnel naogopa itansumbua ka ya mkuu nurbert cz hizi server zinasumbua xana mi inakubali ya netherland tuu ambayo katika hii vision mpya haipo!

Zipo aisee tena ziko hadi netherand 10 sahiv
 
Last edited by a moderator:
mtu alipe hio

u7E1ovX.png


hamna dispatch, hapo ni simu, basi jekundu, internet explorer 11 na pd basi

Kama Viini macho VILE angalia isije kuwa ya ku-EDIT maana nyie magraphic designers...hahaaa natania tu
Hiyo simu ni LTE nn?
Kweli umethibitisha Basi JEKUNDU ni 3.75G
Maana hapo hata SMILE tanzania hawaiingi...Nimejaribu bando yao 500MB lkn speed haiingii 3MB/s
 
Kama Viini macho VILE angalia isije kuwa ya ku-EDIT maana nyie magraphic designers...hahaaa natania tu
Hiyo simu ni LTE nn?
Kweli umethibitisha Basi JEKUNDU ni 3.75G
Maana hapo hata SMILE tanzania hawaiingi...Nimejaribu bando yao 500MB lkn speed haiingii 3MB/s

hspa+ ndo ilinipa hio speed

kaka true lte ni 100 mpaka 150mbps hao smile wamechukua network ya alcatel ngoja voda alete lte ya nokia uone mziki wake.
 
mkuu ni simple u don need any downloaded software kutake a sreen shot just press 'FN' key+Prt Sr hizo key zotee zipo kwenye comp. ako after that click start then search paint then ifungue after that just click past icon picha ya screen ako itatokea hapo waweza edit vyovyote utakavyo hiyo miduara na mishale utaipata hapo kwenye shapes baada ya kuedit save badilisha format iwe JPEG then ok or ukishindwa jaribu na njia za mkuu #mkwawa na MWl hapo juu nazo ndo huwa natumia xana!

  • Screen Capture software zipo nyingi, kuna za bure na zinazouzwa.Baadhi yake ni hizi kwenye link.
    Code:
    [url=http://screen-capture-software-review.toptenreviews.com/]Screen Capture Software Review 2013 | Best Screenshot Software | Screen Recording Software - TopTenREVIEWS[/url]
  • Software ninayotumia kwa sasa ni SNAGIT ambayo ndio hiyo aliyotumia frank G hapo juu.
  • Angalia kazi ya snagit kwenye hii picha
​

kama unatumia windows 7 au 8 kuna tool inaitwa sniping just click start halafu andika ina icon ya mkasi click hio then bonyeza new then kata eneo unalotaka

Win8_Snipping_Tool.png

Shukrani kwa darasa huru jamani, ndo itakuwa assignment yangu ya wknd.
 
  • Ndugu Frank G confirm ni HTTP tunnel au VPN tunnel
  • Je umesha download TGv2.5.0.0 ; Kama bado ichukue hapa

nw it start to get boring again, mi hizi server hata czielewi jana imepiga mzigo poa tu leo inazingua afu nkienda kulog in online inaandika invalid username hapa kichwa kinauma! hivi mkuu hakuna ports zingine na servers caz server iliokuwa ina accept kwangu ni netherland na demo hapa nashindwa kueelewa kabisa!
 
umesahau kufanya kitu kimoja 411-102=209mb
ni vigumu kuamini lkn hiyo speed nimeipata kipindi cha nyuma kidogo nikiwa na modem ya alcatel onetouch na ni vodacom tanzania
pili hii sio constant speed maana huenda siku hiyo ilikuwa ina range 700kb/s-1mb/s hivo hata time calculation inaweza isiwe exactly na hiyo ni estimated time tu inaweza kuwa au isiwe na speed is never constant mara nyingi kwa speedd kubwa kama kama yangu hii
mkuu nisaidie account ya pd prox trial period nijaribu basi
 
yaani wewe kwa speed yako ya Dashboard ya Modem huwezi vuka transfer rate ya 160KB/s kwenye IDM
Huenda kuna Auto-Updates ktk pc yako(za windows na baadhi ya software) ambazo nazo ziko zinadownload vitu Online ndo maana unacheza 67KB/s

Nina pd-proxy na ninatumia modem ya Voda, maeneo nilipo ninapata network ya 2g & 3g. But muda mwingi 2g(EDGE) ndo inakamata, 3g(WCDMA/HSPA) inakuja na kutoweka. Kwenye modem nimejaribu kwenda Tools > Options > Network. Kwenye Network Type drop-down list haiko active ila inaonesha WCDMA preferred na wala hakuna option nyingine ya ziada.

Swali: Kuna njia nyingine yoyote naweza kufanya either kwenye PC/Modem ili hii modem sasa ilete WCDMA/HSPA tu???

Maana EDGE siitaki kabisaaaaaaa inaniweka kwenye foleni muda mrefu mno kiasi nashindwa furahia pd-proxy. Mwenye experience na hilo swala tubadilishane mawazo tafadhali.
 
Nina pd-proxy na ninatumia modem ya Voda, maeneo nilipo ninapata network ya 2g & 3g. But muda mwingi 2g(EDGE) ndo inakamata, 3g(WCDMA/HSPA) inakuja na kutoweka. Kwenye modem nimejaribu kwenda Tools > Options > Network. Kwenye Network Type drop-down list haiko active ila inaonesha WCDMA preferred na wala hakuna option nyingine ya ziada.

Swali: Kuna njia nyingine yoyote naweza kufanya either kwenye PC/Modem ili hii modem sasa ilete WCDMA/HSPA tu???

Maana EDGE siitaki kabisaaaaaaa inaniweka kwenye foleni muda mrefu mno kiasi nashindwa furahia pd-proxy. Mwenye experience na hilo swala tubadilishane mawazo tafadhali.

Huwezi kubadili network kama upo connected kwa wakati huo ndo maana inakuwa list haiko active. Jaribu ku-disconnect halafu ujaribu tena.
 
Huwezi kubadili network kama upo connected kwa wakati huo ndo maana inakuwa list haiko active. Jaribu ku-disconnect halafu ujaribu tena.

Ni kweli Nyasiro, nilikuwa connected. Baada ya kudisconnect mambo yameenda vizuri, hatimaye inaleta wcdma. Hspa inakuja na kutoweka, nadhani ni kwa sababu ya eneo nilipo. Angalau sasa speed inaridhisha kiasi.
Nashukuru kwa wazo huru mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom