kichwanazi
Member
- Apr 11, 2013
- 89
- 9
Kichwanazi siku Ukifikisha 1.35MB/s utakuwa Jembe
![]()
nawasiwasi na hiyo speed hapo, yaani dakika 13 kwa 411MB...!! Mi inacheza kwenye 300-500kbps na muda ndo huwa unakuwa una range hivo kwa 400-480mbs
mzigo wa korosho ama vipi mkuu!! Sikuelewiiii....
- Hiyo speed ya IDM 921Kb/s ipo stable? au inapanda na kushuka?
Kichwanazi siku Ukifikisha 1.35MB/s utakuwa Jembe
![]()
Kichwanazi siku Ukifikisha 1.35MB/s utakuwa Jembe
![]()
Mkuu basi la kijani su ni basi kuu kabla ya ajali iliolipa pancha na kufanya sahiv tunatembrlea Rim
nawasiwasi na hiyo speed hapo, yaani dakika 13 kwa 411MB...!! Mi inacheza kwenye 300-500kbps na muda ndo huwa unakuwa una range hivo kwa 400-480mbs
Mkuu sijakusoma kabisa huenda hii saa sita ulikuwa umechoka na una usingizi emu nieleweshee ulichomaanisha
Nauliza hii spidi unatumia basi la kabang ama lile jekundu ambalo spid yake sahiv ni majanga baada ya ajali ya moto wakati ule