NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 234
Wakuu wana JF,
Nina mpango wa kupiga chini hii job ninayoifanya maana naona inanilostisha na haina maslahi wala future kwangu.
Nataka nitumie ile njia ya kupiga chini job by giving a notice withini 24 hours soon baada ya kutafuna salary yao ya this month/january.
Swali:
Je ninapotoa hiyo notice ya 24 hours ina-nipasa niwalipe salary ipi- basic salary au ni take home?
Na endapo nikitoka tu kimtindo bila kuwalipa hiyo hela watanishtaki au? (Ni taasisi ya serikali).
Nina mpango wa kupiga chini hii job ninayoifanya maana naona inanilostisha na haina maslahi wala future kwangu.
Nataka nitumie ile njia ya kupiga chini job by giving a notice withini 24 hours soon baada ya kutafuna salary yao ya this month/january.
Swali:
Je ninapotoa hiyo notice ya 24 hours ina-nipasa niwalipe salary ipi- basic salary au ni take home?
Na endapo nikitoka tu kimtindo bila kuwalipa hiyo hela watanishtaki au? (Ni taasisi ya serikali).