Habari wana JF.
Naomba wachumi mnisaidie kuelewa kwenye jambo hili. Kwanini hadi sasa tunaendelea kutumia noti za zamani na noti mpya licha ya kuingizwa kwenye mzunguko kuanzia 2011?
Je kulikuwa na ulazima wa kuzibadilisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.