Noti za Tsh. 50000 na 100000

Aug 28, 2021
36
108
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
 
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
Naunga mkono hoja.
 
Na chuma cha 600 saiv makondakta wimbo wapo una sh 100 hapo. Na abiria kauzu wanajibu sina kumbe wanazo
 
Kumbe tuko Zimbabwe na hamusemi
Sasa kaka...Ukienda na uteni dekani Sukari kilo, Maharage kilo, Mchele kilo mafuta ya kula fanta Moja tu 😂😂😂 Hela imeisha. Elfu kumi haupati nguo pili labda chupi na vesti/kawoshi .... Kiatu ndio haupati kabisaaaa... Hii Hela ni toilet paper kama Idd Amin alivyoambiwa....
 
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
Money devaluation.
 
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
Uganda long time wana noti za 50k na 100k
 
Niliandika hili wazo wanaojiita wataalamu wa uchumi wakanitusi hapahapa jf.

Inshort wachapishe noti mpya ya elfu 20 na elfu 50. Kwa hali ya sasa ya kimaisha
Tusifiche uhalisia wakati uhalisia unajionesha maisha yamepanda bei sana sana
 
Niliandika hili wazo wanaojiita wataalamu wa uchumi wakanitusi hapahapa jf.

Inshort wachapishe noti mpya ya elfu 20 na elfu 50. Kwa hali ya sasa ya kimaisha
Tusifiche uhalisia wakati uhalisia unajionesha maisha yamepanda bei sana sana
Hao watu waliokutusi huenda walikuwa wako sahihi.
Jaribu kwanza kufanya utafiti upya kuhusu suala hili, utakuja kugundua kwamba hili wazo lako siyo zuri, baya sana na Lina hasara kubwa na nyingi zaidi ktk uchumi wa nchi endapo kama litatekelezwa.
 
Nooooooo ,tunahitaji kuondoa zeros zote na kubakiwa na noti ya 100 tu,Zambia ni mfano hai, ukienda tunduma border, kununua 1 ZWK unatoa 110 tshs!,hii ni aibu kubwa kwetu, futa noti zote zote tubakiwe na 100 tu
 
Back
Top Bottom