Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,850
- 3,201
Umenikumbusha mbali mkuu, enzi zangu za utumikiaji kanisani.Namna hiyo.
Kuna kipindi nikiwa chuo, tukamix nyingine ikabakaki. Hehehhe si tukaipiga kule ofisini, nililewa😂😂😂😂
Umenikumbusha mbali mkuu, enzi zangu za utumikiaji kanisani.Namna hiyo.
Kuna kipindi nikiwa chuo, tukamix nyingine ikabakaki. Hehehhe si tukaipiga kule ofisini, nililewa😂😂😂😂
Zipo grape juice japo kama apa bongo kanisani wanatumia wine bhas zitakuwa zinapatikana kwa shidaHabari,
Wana jamvi hivi nikweli kuna mvinyo (wine)ambazo hazina kilevi kabisa kama unazijua zitaje.Maana kuna mtu aliniambia zipo nikamgomea Ahsanteni.
You get me wrong brother. Wewe ni scientist, fine. Mimi ni mzalishaji wa divai.Nisikilize mkuu!
Mi ni scientist Tunaweza kuanza kuweka Hoja mezani kuhusu hilo..
Every femented Substance has alcohol in it lavda tuanze kudefine kwanza alcohol pengine wengi hamjui maana yake
Hiyo hupati labda ukamue juice.free alccohol
Hapa ndo umetoa jibu..You get me wrong brother. Wewe ni scientist, fine. Mimi ni mzalishaji wa divai.
Ulichoniuliza ni kusema haina kilevi kabisa na mimi sijatumia neno 'HAINA KILEVI KABISA'
Nilichojibu ni kwamba divai inayosemwa haina kilevi huwa ina kiwango kidogo sana cha kilevi (kiwango cha chini ni. 0.5) ambayo ikipimwa na kipima kilevi itaonekana haina kilevi ila sio kama haina kabisa.
Yawezekana wengi hawajui. Ila mimi nafahamu vizuri.avda tuanze kudefine kwanza alcohol pengine wengi hamjui maana yake
Hata mwanzo nilijibu tu kwa mtazamo huu ila watu wanasoma kujibu sio kuelewa.Hapa ndo umetoa jibu..
You get me wrong brother. Wewe ni scientist, fine. Mimi ni mzalishaji wa divai.
Ulichoniuliza ni kusema haina kilevi kabisa na mimi sijatumia neno 'HAINA KILEVI KABISA'
1. Divai isiyo na kilevi: Baadhi ya wazalishaji wa divai wameunda aina maalum za divai ambazo hazina kilevi kabisa. Hizi ni kawaida divai ambazo zimefanywa kwa kutumia mchakato wa kuvuna mapema au kuzuiwa kwa njia ambayo inazuia uundaji wa kilevi.
ONLY ITS YOUR WORDS AGAINTS YOURS na sio Yangu mkuu..
Kwahyo mkuu Kuna sehemu Nimekusingizia?
Aliyesema hayo maneno hapo Juu ni Nani au ni watu wawili tofauti?
Akili mbovu! Isiyo na kilevi maana yake alcohol content ni 0%! Hicho kitu hakuna kwenye wine. Hata ikiwa ni 0.00000000000000000001% bado ina kilevi. Mambo ya kabisa yatoke kichwani MwakoNi akili ya kisimiri.
"Dealcoholized" ni neno linalotumika kuelezea vinywaji ambavyo awali vilikuwa na kilevi (pombe), lakini kwa njia ya mchakato maalum, kimeondolewa au kupunguzwa kiwango cha pombe hadi kiwango kinachodhaniwa kuwa chini ya kizingiti kinachohitajika ili kuhesabika kuwa na kilevi.
Mchakato wa kuondoa au kupunguza kilevi katika vinywaji huitwa "dealcoholization." Kuna njia kadhaa zinazotumiwa katika mchakato huu, ikiwa ni pamoja na kuchemsha, kuchuja, au kutumia mbinu za teknolojia ya hali ya juu kama osmosis au chromatography.
Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kuwa hata vinywaji vilivyofanyiwa dealcoholization bado vinaweza kuwa na kiwango kidogo cha pombe, ingawa ni kidogo sana kulinganisha na bidhaa zilizo na kilevi. Ni vyema kusoma na kuelewa maandishi kwenye lebo ya bidhaa ili kujua kiwango cha pombe kilichobaki.
Alieuliza swali hakusema divai isiyo na kilevi kabisa, kasema isiyo na kilevi. Ukichukua hiyo inayofanyiwa dealcoholization ukaipima kwa kipimo kinachotumika kupima kilevi, utapata jibu kuwa haina kilevi.
Hakuna Divai isyosindikwa mkuu Divai yoyote ili iitwe Divai lazma isindikwe (Fermented)..Yawezekana wengi hawajui. Ila mimi nafahamu vizuri.
Divai ya Zabibu zisizo sindikwa zinaweza kusababisha divai isiyo na kilevi. Lakini zikisha sindikwa mpaka zikatengeneza kilevi, zikifanyiwa dealcoholization kilevi kidogo kinabaki.
(Mchakato huu unaweza kujumuisha kuchachusha zabibu kwa muda mfupi na kisha kuziondoa mapema kabla ya kuanza kuzalisha kilevi.)
Sawa mkuuHakuna Divai isyosindikwa mkuu Divai yoyote ili iitwe Divai lazma isindikwe (Fermented)..
Divai isiyosindikwa Ni Juice ya Zabibu..
Na Juice ya Zabibu Isiyosindikwa haiitwi Divai au Wine..
Inaitwa MUST (Au kwa kilatin vinum mustum)
Sasa mkuu Vinum Mustum Haiwezi kuwa Wine..
Hiyo ni freshly crushed fruit juice..Na Basically ni Grapes Juices..
Na inapotengenezwa yale mabaki yake Ipe Mbegu na maganda huitwa POMACE..
Nahisi nimeshaonyesha na nikaweka Alama maandishi mekundu You can check themNIONYESHE NILIPOSEMA HAZINA KILEVI KABISA.
Soma maelezo mkuu, hizo ni aina zinazosemwa hazina kilevi. Soma maelezo yote utaelewa brother.
Punguza jaziba. Soma kuelewa sio kujibu.Akili mbovu! Isiyo na kilevi maana yake alcohol content ni 0%! Hicho kitu hakuna kwenye wine. Hata ikiwa ni 0.00000000000000000001% bado ina kilevi. Mambo ya kabisa yatoke kichwani Mwako
Ok.Nahisi nimeshaonyesha na nikaweka Alama maandishi mekundu You can check them
Kwani haya ni Maelezo ya Nani..NIONYESHE NILIPOSEMA HAZINA KILEVI KABISA.
Soma maelezo mkuu, hizo ni aina zinazosemwa hazina kilevi. Soma maelezo yote utaelewa brother.
Kwanza, mvinyo ni nini?! Jibu lako litakuelekezaHabari,
Wana jamvi hivi nikweli kuna mvinyo (wine)ambazo hazina kilevi kabisa kama unazijua zitaje.Maana kuna mtu aliniambia zipo nikamgomea Ahsanteni.
Champagne siyo wine lakini.Hata hizi za sacrament kanisani zina kilevi.
Labda champagne
Endeleza stori basiiiiii. Ukalewa! Kikatokea nini? Maana ofisini hukuwa mwenyewe,ukarudi gheto,lazima ulipata msaada baada ya dish kuyumba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Namna hiyo.
Kuna kipindi nikiwa chuo, tukamix nyingine ikabakaki. Hehehhe si tukaipiga kule ofisini, nililewa😂😂😂😂