Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,727
- 3,929
Kwani kwa teknolojia iliyopo siku hizi sio shida kuletewa kinywaji chenye harufu na rangi tena iliyokolea vizuri ya wine og na ukaambiwa ndo wine isiyo na kilevi? Yani sio shida kupata wine Fake au Waini pori/mwitu. Ni rahisi sana🤣🤣🤣🤣🤣yaan mwee
