Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,400
Hii hapa ndio niliinywaAltar Wine 18% Alcohol 😆View attachment 2895281
Hii hapa ndio niliinywaAltar Wine 18% Alcohol 😆View attachment 2895281
Nililewa ila nilikuwa na akili zangu. Macho tu yalikuwa yanarembua na miguu nakua kama naelea hewani.Ulipo lewa, ukawa Chakula yao!
Ni sawa na kuuliza kuwa eti kuna pombe isiyo nq kilevi?Habari,
Wana jamvi hivi nikweli kuna mvinyo (wine)ambazo hazina kilevi kabisa kama unazijua zitaje.Maana kuna mtu aliniambia zipo nikamgomea Ahsanteni.
K ilisalimika! Maana mwanamke akinywa wine, harage linasimama ajabu.Nililewa ila nilikuwa na akili zangu. Macho tu yalikuwa yanarembua na miguu nakua kama naelea hewani.
Hiyo yenye o alcohol itakuwa ni juiceWakuu kuna non alcohol na 0 alcohol twendeni taratibu, je hiki ni kitu kimoja? Nyingi ni Non alcohol
Nimeingia google, zipo mkuu
Hamna hata hakikutokea kitu. Nilienda zangu tu kulala.K ilisalimika! Maana mwanamke akinywa wine, harage linasimama ajabu.
Me naona ni same zote ni no alc.Wakuu kuna non alcohol na 0 alcohol twendeni taratibu, je hiki ni kitu kimoja? Nyingi ni Non alcohol.
Kuna aina kadhaa ya vinywaji vya divai ambavyo havina kilevi, na mara nyingi hujulikana kama "divai isiyo na kilevi" au "divai ya alkoholi ya chini." Hizi ni divai ambazo zimeundwa kwa njia ambayo kiasi cha kilevi (ethanoli) kinapunguzwa au kinaondolewa kabisa. Hapa kuna mifano kadhaa ya divai isiyo na kilevi:Kabisa labda zipo ila nilimgomea jamaa hiyo kitu
NaaminiSawa mkuu ila kwa bongo yetu zipo kweli
😂😂😂Furuto sijui fruto 😂 kinywaji changu cha utotoni kijijini.
Kanisani ni spiritual drink.....mzao wa mzabibu...ni symbolic damu ya Yesu.....na kwa kipimo ni robo kinibu...haikufanyi ulewe.Hata hizi za sacrament kanisani zina kilevi.
Labda champagne
InaleweshaAltar Wine 18% Alcohol 😆View attachment 2895281
Kwamba nyama iliyokaangwa na maji ni mchemshoDunia ina mengi, yawezekana zipo ila wine isiyo na kilevi si itakuwa juice ya zabibu 😁
Haha kwa hiyo unadhani kuchanganya na maji ni ili kupunguza kilevi.sio kweli kijana .Kuna sababu nyingine maalumuKweli ndiyo maana wanachanganya na maji kidogo