Hii kitu ni kali kuliko Robertson. Inayo alcoholCheki altar wine weweView attachment 2315665
Chukua zabibu saga kwa brenza chachisha kunywa...simple tuu, home made wineNapenda sana taste ya maji ya zabibu nzito kama wine.shampeni hapana
OkUkitaja neno "wine", alcohol haikwepeki, tafuta juice ya zabibu
Mzee huko kuna mizigo mikali zaidi ya unavyojua😀😀😀Tafuta Coventry yeyote ya masista wakatoliki utapata.. Though kwasababu hujui hifadhi itachacha nakuwa pombe
HA HA HASio anywe VIMTO ?
OkHakuna wine iso na kilevi... Kinachotokea ni kwamba kadr inavyokaa sana ndo inakua strong(kilevi kinakua kikali)
OkWine inasindikwa, vile viambaupishi hata usipoweka hamira (ambayo ndo source ya alcohol kwenye wine) huwa vinazalisha alcohol japo itakuwa siyo kubwa