Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Tuma salamu kwa Warombo wote waliopo JF....
Mimi au huyo freemason?
Tuma salamu kwa Warombo wote waliopo JF....
Mimi au huyo freemason?
Hehehe.. Siku utakuja kusikia Jf freemasons
Nikweli mkuu anayosema mleta mada japo haina maana kua ni vibaya kutumia sim za nokia.na pia kwa taarifatu nikwamba kampuni nyingi za sim au zote wamiliki wake ni freemason.hatuwezi kukwepa kutumia bidhaa zao kwa njia yoyote lwakua asilia 95 ya mahtaji muhm ya mwanadam yapo mikononi mwao. Inahtaji muda na umakini mkubwa wa kuyajua haya.mf; ukiangalia vifaa vya LG logo yake nialama yao unaweza kukataa.ila ichunguze ile logo vizuri ni sanam yenye jicho moja.imekua hiyo kwakua watu huamini shetani hua anajicho moja na pia ana pembe mbili.na ndio maana hata ukichunguza matajiri na wanaziki kama mzee wa alamba taarabu nk.kwenye nyimbo zao wakicheza huonyesha ishara ya vidole viwili kama ishara ya kumtukuza huyo shetani mwenye jicho moja na pembe mbili.
nashauri wadau tusiwe wepesi wa kupinga kila kitu hebu tujipe muda wa kuvichunguza kila mtu achunguze kwa nafasi yake.pia tusiwetu tunaparamia mada bila kuifikiria tukaanza kumkebeh mleta mada tena bila hoja.tusiwe kama tumetoka fesibuku
Niliingia kwa nia ya kusoma but in the back of my mind I knew it would be something like yale ya mtoto wa Jay-Z.Hivi unatania au upo serious.
Kama ndio uwezo wako umeishia hapo basi unahitaji kumuona dakitare.
Niliingia kwa nia ya kusoma but in the back of my mind I knew it would be something like yale ya mtoto wa Jay-Z.
Nimefika na kusoma, seriously, this beats anything I have heard on "free masons" so far. Yani nimecheka hadi basi.
Hata neno Mwali linaweza kuonekana ni la ki-free-mason kwa mtingo huu
(kukata neno, na kuchanga lugha, then kuunga tafsiri).
Kwa hiyo?
Kuna mmoja alikuja na Holy Ghost akasema ni neno la kifreemason...
Unajua alifanyaje
Holy-Takatifu
Ghost-jini
Halafu akaunganisha akasema Jini mtakatifu...Can you imagine ni kizazi gani hiki ambacho hata kujishughulisha ku-google kitu kidogo kama hicho....?tutafika kweli..?