I got this from a friend and i would like to share it with you Wakuu!!
Angalia tafsiri ya neno "NOKIA" neno hili limejengeka kwa lugha 2 tofauti KINGEREZA na KIKOREA.
Neno "NO" ni la Kingereza lenye maana ya kukataa!mfano: 'Hapana" "Hakuna".
Na neno "KIA" ni la kikorea lenye maana ya "Mungu", kwa hiyo ukiunganisha"NO" na "KIA" utapata "NOKIA" lenye maana "HAKUNA MUNGU".
Zima simu yako ya Nokia halafu iwashe uone mikono miwili wa M/mme na M/mke wanapeana support kukubali neno hilo .
"HAWA SI WENGINE ILA NI FREEMASONS."
I got this from a friend and i would like to share it with you Wakuu!!
Angalia tafsiri ya neno "NOKIA" neno hili limejengeka kwa lugha 2 tofauti KINGEREZA na KIKOREA.
Neno "NO" ni la Kingereza lenye maana ya kukataa!mfano: 'Hapana" "Hakuna".
Na neno "KIA" ni la kikorea lenye maana ya "Mungu", kwa hiyo ukiunganisha"NO" na "KIA" utapata "NOKIA" lenye maana "HAKUNA MUNGU".
Zima simu yako ya Nokia halafu iwashe uone mikono miwili wa M/mme na M/mke wanapeana support kukubali neno hilo .
"HAWA SI WENGINE ILA NI FREEMASONS."
Kwa hiyo?
Hivi unatania au upo serious.
Kama ndio uwezo wako umeishia hapo basi unahitaji kumuona dakitare.
Nimeichoma moto Hakuna Mungu yangu' icniletee dhahama