ze kokuyo JF-Expert Member Jan 24, 2014 7,418 9,599 Jul 22, 2018 #41 Gwakukahja said: Chukua infinix note 5 Click to expand... Bei inayouzwa ni ghali Sana haiendani na hiyo simu. Ningemshauri aagize Xiaomi Redmi 5 Plus 4GB RAM&64GB ROM ambayo kwa Sasa inacheza kwenye 350k-370k. Amtumie hata Mwl.RCT amwagizie Attachments Screenshot_20180722-151020_1532261464698.jpg 104 KB · Views: 38
Gwakukahja said: Chukua infinix note 5 Click to expand... Bei inayouzwa ni ghali Sana haiendani na hiyo simu. Ningemshauri aagize Xiaomi Redmi 5 Plus 4GB RAM&64GB ROM ambayo kwa Sasa inacheza kwenye 350k-370k. Amtumie hata Mwl.RCT amwagizie
kombaME JF-Expert Member Aug 24, 2015 2,115 2,809 Jul 22, 2018 #42 Infinix hot 6 pro nasikia hizi simu ni nzuri sana, ukweli upoje?
ruralofficer JF-Expert Member Apr 4, 2014 2,490 3,618 Jul 22, 2018 #43 kombaME said: Infinix hot 6 pro nasikia hizi simu ni nzuri sana, ukweli upoje? Click to expand... Ndio ni nzuri sana,na zinapatikana sana KENYA
kombaME said: Infinix hot 6 pro nasikia hizi simu ni nzuri sana, ukweli upoje? Click to expand... Ndio ni nzuri sana,na zinapatikana sana KENYA
ze kokuyo JF-Expert Member Jan 24, 2014 7,418 9,599 Jul 24, 2018 #44 kombaME said: Infinix hot 6 pro nasikia hizi simu ni nzuri sana, ukweli upoje? Click to expand... Nzuri kwa watu wa Fb, WhatsApp na Instagram ila kama ni mpenzi wa magemu makubwa makubwa HAZIFAI labda kama ni flagship kama Infinix Zero 5
kombaME said: Infinix hot 6 pro nasikia hizi simu ni nzuri sana, ukweli upoje? Click to expand... Nzuri kwa watu wa Fb, WhatsApp na Instagram ila kama ni mpenzi wa magemu makubwa makubwa HAZIFAI labda kama ni flagship kama Infinix Zero 5