Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

DERIV wamefanyia Kazi changamoto ya Kudeposit na kuwithdraw tulikuwa tunawategemea Sana payment agents , yani unamtumia mtu hela ambaye hata hujawahi kuonana naye akuwekee kwenye account yako Hii njia ilikuwa na utapeli mwingi Sana , na muda mwingi DERIV wenyewe walikuwa wanapata changamoto ya kusuruhisha hizi kesi za utapeli .
Pia maagent NI kama walikuwa wanajipangia Tu Rate yao muda mwingi rate ilikuwa chini Sana ukihitaji kutoa , na wanaongeza rate ukihitaji kudeposit

Sasa Kuanzia Jana Tarehe 21 November 2023 NI rasmi Deriv wameongeza njia mpya ambayo haina utapeli unadeposit na kuwithdraw kupitia M-PESA, TIGOPESA NA AIRTEL MONEY direct bila kupitia kwa agent yeyote na Rate NI fixed , kutoa NI hiyohyo na kudeposit NI hiyohyo
Minimum deposit NI $5 Tu

Deposit Fuata Hatua zifuatazo
Login kwenye account yako>>Cashier>>Deposit>>Deposit via bank wire,Card and E-wallet>>Chagua TIGOPESA,MPESA/AIRTEL MONEY

Wale wanaohitaji kufungua account tembelea link Hii Online trading with Deriv | Simple. Flexible. Reliable.

Sent from my SHG03 using JamiiForums mobile app
 
Hapana.

Nipo ktk tafiti ktk maabara yangu binafsi.

Hizo automation baadae sasa nitaamua nizifanyie nini ingawa akili yangu inawaza kujikita zaidi ktk simulation na operation za kijeshi.
So basically you are a coder,or just a creative tech savvy who is just using the available ready made tools combined with new ideas/concepts to create new product or just to bring a desired results
 
DERIV wamefanyia Kazi changamoto ya Kudeposit na kuwithdraw tulikuwa tunawategemea Sana payment agents , yani unamtumia mtu hela ambaye hata hujawahi kuonana naye akuwekee kwenye account yako Hii njia ilikuwa na utapeli mwingi Sana , na muda mwingi DERIV wenyewe walikuwa wanapata changamoto ya kusuruhisha hizi kesi za utapeli .
Pia maagent NI kama walikuwa wanajipangia Tu Rate yao muda mwingi rate ilikuwa chini Sana ukihitaji kutoa , na wanaongeza rate ukihitaji kudeposit

Sasa Kuanzia Jana Tarehe 21 November 2023 NI rasmi Deriv wameongeza njia mpya ambayo haina utapeli unadeposit na kuwithdraw kupitia M-PESA, TIGOPESA NA AIRTEL MONEY direct bila kupitia kwa agent yeyote na Rate NI fixed , kutoa NI hiyohyo na kudeposit NI hiyohyo
Minimum deposit NI $5 Tu

Deposit Fuata Hatua zifuatazo
Login kwenye account yako>>Cashier>>Deposit>>Deposit via bank wire,Card and E-wallet>>Chagua TIGOPESA,MPESA/AIRTEL MONEY

Wale wanaohitaji kufungua account tembelea link Hii Online trading with Deriv | Simple. Flexible. Reliable.

Sent from my SHG03 using JamiiForums mobile app
Hapo watu wafungue account kupitia link Yako ili upate commission,kweli fursa ni kuwahi ahh aaah safi sana
 
So basically you are a coder,or just a creative tech savvy who is just using the available ready made tools combined with new ideas/concepts to create new product or just to bring a desired results
Kinda.....

Due to my exposure in Aviation and Millitary Industry, I can say that it motivates me a lot to conduct this research.
 
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini Tanzania.

Mimi binafsi nilijifunza forex na ni biashara ilonivutia sana baada ya kuona jinsi vijana mitandaoni wanavoipamba biashara hii, ila kiukweli ni tofauti na uhalisia, biashra ya forex ipo kweli na inafanya kazi kweli ila kwa Tanzania bado sana, watu wanaingiza pesa kwa kusomesha watu, kuuza ma bots na kufanya Acc Management.

Kuna mkasa ulionitokezea hadi nikaamua kuandika hili chapisho.

Kuna kijana mtanzania maarufu sana tiktok na insta anajiita noebillions huyu kijana amejikita kufanya forex kwa kutumia bot na kuaminisha watu kuwa anapata faida maradufu kwa mtaji mdogo, jambo ambalo sio kweli kiuhalisia.

Kwanza naomba kuelezea jinsi alivyonitapeli:

Noebillions nilianza kumjua instagram na nikamzoea kwa kuchat nae hadi niliwahi kumuomba kufanya nae interview akakubali ila sikufanya nae kwasbabu zangu mimi zilikuw nje ya uwezo wangu.

Kuna siku alisema anatka kukuza acc za watu ndani ya wiki moja na ili upate huduma hii umlipe 500K kama ada then ueke dollar 50 kwenye acc yako ili akukuzie acc yako. Nilifanya uchunguzi then kwa ujinga ukanipitikia kwasababu nilishajenga mazoea nae nikamtumia hela.

Baada ya hapo ndo nikapata funzo ambalo limenifanya niwazindue na wenzangu.

Akaanza kuniblock twitter, akafata insta na akafuta chat zetu ila nahskuru Mungu mimi niliwah kuscreenshot chat zote.

Karibuni nitafanya video kuhusu utapeli mzima uloinikuta kutoka kwa kijana huyu ambae vijana wengi wanashawishika kufanya biashara nae aidha kunnua bot kwa kuamini watapat faida nyingi kwa haraka.

Nimalizie kusema mabot kwnye forex ni kweli na mimi natumia ila kiuhalisia hayapo kama vile wanavoonesha mitandaoni so kuwa makini.

View attachment 2822644View attachment 2822646View attachment 2822645
Kuna jamaa Yuko Instagram pia anaitwa Ibrahim inano,huyo dogo anauza bot na Jana nimekutana na dogo Mmoja analo nimeliona kwenye laptop ya dogo kwa kweli Hilo bot ni genuine kabisa nimekaa na jamaa ana trade deriv v 75 kwa muda wa kama masaa 6 hivi bot limetoa Dola 30 mpaka Dola 120 huku Mimi naona sema linahitaji uwe unafatilia Kuna muda Fulani linakwenda against na trend au linaweza likawa Linafungua tu order nyingi kadiri unavyomake profit so lazima uwepo unalizima na kuwasha pale unapoona Lina kwenda tofauti au unapoona faida inatosha,kifupi ni kuwa pamoja na kutumia bot ni lazima forex uijue pia
 
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini Tanzania.

Mimi binafsi nilijifunza forex na ni biashara ilonivutia sana baada ya kuona jinsi vijana mitandaoni wanavoipamba biashara hii, ila kiukweli ni tofauti na uhalisia, biashra ya forex ipo kweli na inafanya kazi kweli ila kwa Tanzania bado sana, watu wanaingiza pesa kwa kusomesha watu, kuuza ma bots na kufanya Acc Management.

Kuna mkasa ulionitokezea hadi nikaamua kuandika hili chapisho.

Kuna kijana mtanzania maarufu sana tiktok na insta anajiita noebillions huyu kijana amejikita kufanya forex kwa kutumia bot na kuaminisha watu kuwa anapata faida maradufu kwa mtaji mdogo, jambo ambalo sio kweli kiuhalisia.

Kwanza naomba kuelezea jinsi alivyonitapeli:

Noebillions nilianza kumjua instagram na nikamzoea kwa kuchat nae hadi niliwahi kumuomba kufanya nae interview akakubali ila sikufanya nae kwasbabu zangu mimi zilikuw nje ya uwezo wangu.

Kuna siku alisema anatka kukuza acc za watu ndani ya wiki moja na ili upate huduma hii umlipe 500K kama ada then ueke dollar 50 kwenye acc yako ili akukuzie acc yako. Nilifanya uchunguzi then kwa ujinga ukanipitikia kwasababu nilishajenga mazoea nae nikamtumia hela.

Baada ya hapo ndo nikapata funzo ambalo limenifanya niwazindue na wenzangu.

Akaanza kuniblock twitter, akafata insta na akafuta chat zetu ila nahskuru Mungu mimi niliwah kuscreenshot chat zote.

Karibuni nitafanya video kuhusu utapeli mzima uloinikuta kutoka kwa kijana huyu ambae vijana wengi wanashawishika kufanya biashara nae aidha kunnua bot kwa kuamini watapat faida nyingi kwa haraka.

Nimalizie kusema mabot kwnye forex ni kweli na mimi natumia ila kiuhalisia hayapo kama vile wanavoonesha mitandaoni so kuwa makini.

View attachment 2822644View attachment 2822646View attachment 2822645
Mimi naamini biashara inayomake Profit haitangazwi.

Ukiona mtu a akushawishi kwenye biashara inayoingiza mabilioni ili hali na yeye maisha yake ni hohehahe........basi ujue hiyo biashara wewe ndio mtaji wake.
 
Jana nlikuwa nazungumza na jamaa yangu nikawa namwambia kuwa siku hizi unafake una ela, unaishi high life then whatever shit you would say people, watu wanaamini.
Usiamini watu ambao wanavaa suti na viatu expensive lakini wamekosa pesa ya sox.
Mentor wa fx karibu wote africa matapeli na ni wauza stratergies ambazo kiuhalisia wao hawazitumii.
Sasa mtu anakublock kwa just 120k tshs si ana njaa huyo
Wewe hujiulizi anahangaika kutafuta Dola yako 50. Ila anakuahidi utapata Faida Dola 1000.

Kwanini yeye asiweke hiyo dola 50 akaipata faida ya dola 1000 lakini anahangaika na wewe?
 
Waingereza wenyewe hawatapeli?
Waingereza wengi au traders kutoka nchi hiyo, ndio wanaofanya kazi kweli.
Sijaona tapeli hadi sasa. Na hawapo humu mitandaoni. Na hawana sifa za kuonyesha mapesa haya. Wengi tu bongo hapa wanafanya kazi na makampuni makubwa na watu wakubwa. Niliwahi pita huko kikazi si kimaigizo kama watu wengi wanaopita humu na kuandika machungu ya forx. I came about kujua waingereza au traders wengi wa UK hawanaga shida.
 
Back
Top Bottom