UAV inahusu aina fulani ya ndege isiyokuwa na rubani, AI inahusu uwanja mkubwa wa teknolojia unaolenga kuipa kompyuta uwezo wa kufanya kazi za kufikiri kama binadamu au hata kuzidi uwezo wa binadamu katika baadhi ya maeneo.UAV na AI ebu fafanua hapo nasi tupate elimu