Noandoka Tanzania

Mkuu nenda kacheki ustaarabu ......mambo yakiwa poa bs naomba unistue na mm......mi ntakuja kuoa huko huko....damu ya bongo tyr inanuksi bhana
 
Kila la heri na baraka Mkuu.
 
eeeh Mungu akusaidie tuu kamanda maana.biashara za madili na makontena hewa na ukwepaji kodi hauna.nafasi tena nchini mwetu..tunajenga nchi mpya..maisha yako ya ujanja ujanja ni bora ukaanza mbele kuliko kusubiri uumbuliwe..pole sana..nenda kajaribu maisha nchi nyingine masikini kama ilivyokuwa nchi yetu kipindi cha nyuma ili upate nafasi ya kupiga hela vizuri kabla hawaja kustukia...nenda salama
 
We nendra ila kumbuka huku ukiwa na genge la kuuza nyanya unathaminika ila huko mpaka utusue ujùe umebahatika kuwa na talent.
 
Nenda syria kwa sasa kazi zipo nyingi mno
 
Nlikuwa nawaza kitu kama hiki dakika 30 zilizopita.
Nikajikuta naangalia bei za nyumba hispania.
Huu mwaka ukiisha sijaondoka Tanzania basi siondoki tena.

Naichukia hii nchi kuliko maelezo.
yani mimi ndio kila baada ya dakika tatu ninapata hili liwazo, kila mara akili yangu inaniambia niko mahala nisipo stahili. silipendi hili nchi hata kidogo.

niajiapizia mwaka huu ndio mwisho wa kuishi kwenye hili jehanamu mnaloiita tanzania. nikiondoka nafanya na sherehe kabisa huko ntakapoenda,
 
Unaenda kujifunza kuishi, ongera uko magharibi ndo utamwelewa vizuri pombe John , uko si sehemu nzuri kabisa kuishi, rudi nyumbani na usiuze asset zako.
 
Kila la kheri! Maisha nu popote, cha muhimu nafsi iwe na Amani.
 
Tanzania ni nchi nzuri saana tuipende tuithamini wote bila kusubiri wanaotuongoza wafanye hivyo.


Kila mmoja ana maamuzi binafsi ila nakuhakikishia ukiwa nje unaweza kuipenda Tanzania na ukabadili mawazo.
Sure.napenda sana watu mnaojielewa


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Ni mtazamo wako ila hakuna Sababu ya kuandika mtandani kwani mtazamo wako sio wa mwingine pia jihadhari unaweza kujikuta unatenda makosa ya kimtandao na Sijui unaaminije kuwa uwendako ndiko utapapenda?
 
Ni mtazamo wako ila hakuna Sababu ya kuandika mtandani kwani mtazamo wako sio wa mwingine pia jihadhari unaweza kujikuta unatenda makosa ya kimtandao na Sijui unaaminije kuwa uwendako ndiko utapapenda?
makosa yametendwa sana kiasi kwamba tunajua kuwa sio makosa tena
 
sasa kijana usisahau kuchukua hata K VANT ndogo maana ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…