Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Aku, mie niko kwenye ahadi ya Yesu, Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Sitaki dhambi mie.
Aku, mie niko kwenye ahadi ya Yesu, Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Ha ha ha ha hapana.. Ni identical pacha wake kabisa lol..
Heaven on Earth dada yangu.. huyu wifi yako mie hata simuelewi.. yaan mimba yake inamsumbua.. Anaruka ruka kama pacha wake tumboni.. Na huyu Mlachake mie ninamuangalia tuu..
pesa sio kila kitu katika mapenzi
Heaven on Earth dada yangu.. huyu wifi yako mie hata simuelewi.. yaan mimba yake inamsumbua.. Anaruka ruka kama pacha wake tumboni.. Na huyu Mlachake mie ninamuangalia tuu..
wewe mdada umetuona sie hatujui kuhonga eee? mbona hiyo msg yako kama ina ka ukweli ndani,
hapana, ila mimi napenda cost sharing.....
Heaven on Earth dada yangu.. huyu wifi yako mie hata simuelewi.. yaan mimba yake inamsumbua.. Anaruka ruka kama pacha wake tumboni.. Na huyu Mlachake mie ninamuangalia tuu..
hahaa kaka angu sosoliso kama ni hawa mapacha wake basi msamehe bure............
na aliniagiza udongo mwekundu ngoja nikamtafutie
chezea gubu la mawifi weye. Lazima uimbe tenzi zote. Hapo wakwe tunakutazama tu. A.....Wifi zangu mna mambo,(tililili tilililiii) mambo yenu ya ajaaab,(tililiiitililililii) jamani nifanye nini, ooh nifanye nini, paloma nifanye nini, naelewa mazoeaaaa yana tabu, lakini nitajitahidiii kusahau.......kwanza mngejiulizaaa(tilililitililiii)......kipi ananipendea,.....(Tililili tilililii)
Tatizo lako ulikuwa hujazaliwa wakati huu wimbo unaimbwa!
chezea gubu la mawifi weye. Lazima uimbe tenzi zote. Hapo wakwe tunakutazama tu. A
kikitafuna noti, nawe unaenda kukitafuna hasa.....hahaha acha ubahiri mzee mwenzangu, hiyo ndio taabu yakuwa na vi serengeti girls vinatafuna noti kama mchwa
Mwanaume gani nilikua nikikutajia pesa unakata mawasiliano
Nimekumiss mpenzi. Mambo vipi?