Mwanaume gani nilikua nikikutajia pesa unakata mawasiliano
hapana, ila mimi napenda cost sharing.....
People assume that money makes you happy, but it just doesn't work that way.
Heee! leo umeongea mapwentiiii nahisi nitakuiba from Nicas Mtei aiseee..au ni Vin Diesel maana nawe hueleweki!!!
hilo sio geni ndio maana kukataa kuumizana niliingia katika mahusiano ya kudumu nikiwa kijana mdogo kutokana na misimamo yangu, baada ya kukubaliana kuwa kila kitu kinawekwa mezani kinajadiliwa na nani anabeba nini kinafahamika....mkuu cost sharing is impossible kwa wakike tanzania.. angalau kwa kenya..
hapa kwetu utakimbiwa saaaana.
hilo sio geni ndio maana kukataa kuumizana niliingia katika mahusiano ya kudumu nikiwa kijana mdogo kutokana na misimamo yangu, baada ya kukubaliana kuwa kila kitu kinawekwa mezani kinajadiliwa na nani anabeba nini kinafahamika....
bandugu kwa mtindo huo tumepiga hatua sana, maana inanipa nafasi ya kujiangalia zaidi na familia.
siangalii pembeni....
namaanisha wangu......!I hope this is true maaana.......................