vivian unaweza kuwa umepata jibu hapo juu...aha nimeanza kuhisi kitu hapa! Mlachake ana kukataza yeye kama nani kwako?
leo nipo
Hizi mada huwa zikiletwa humu na wanaume huwa zinapata upinzani sana aisee, lakini leo naona tofauti kabisa full support. No money no honey kweli?
Siku hizi naona mmegundua aina mpya ya kutupunguza wachangiaji, thread nyingi sasa hivi ni za kiingereza tuu, sie saint kayumba lazima tutoke kapa la sivyo tuwe na dictionary kama ya Excel ndo hivo vivian
ha ha ha ha Steven Robert Masatu yaani unataka ukatikiwe kiuno bure?
Simaanishi hivyo, Ila ninashangaa mada ya namna hii huwa inapingwa sana, wanawake wanasema sio wote Kuna wengine wapo kimapenzi zaidi lakini sio hela za mwanaume.
Sasa leo nashangaa mada hii imeletwa na mwanamke lakini sioni upinzani wowote ule.
cha kushangaza nini hapo wakati
ni kitu cha akawaida tu
au ulitaka :shock:
ha ha ha ha ha hizi wanapanda machangu wa maisha club na Q bar