PreGE2025 No Reforms No Election yaingia Mbozi, Maelfu Wajitokeza Kuunga Mkono

PreGE2025 No Reforms No Election yaingia Mbozi, Maelfu Wajitokeza Kuunga Mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,763
Reaction score
284,778
Taarifa kamili hii hapa, ni kutokea eneo la Vwawa

Screenshot_2025-03-28-15-36-27-1.png
Screenshot_2025-03-28-15-36-17-1.png
Screenshot_2025-03-28-15-36-07-1.png


Taarifa zingine zinaeleza kwamba, Wananchi wa hapo wamekubaliana kwa kauli moja kwamba bila Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi.
 
Lakini mwisho wa siku lazima CCM inaibuka mshindi, hilokila mTanzania anafahamu hadi viongozi wa CDM, kikubwa wapambane wapate karuzuku kazuri..

Mimi hii siasa ndio maana nimeacha hata kuzifuatilia..
 
Back
Top Bottom