No orchid for Ms. Wema Sepetu

No orchid for Ms. Wema Sepetu

Kwahiyo wewe unaona kuikampenia ccm ni justification ya kula au kuuza ngada??? Na una maanisha ni afadhari angefanikisha Lowasa aingie madarakani kwasababu asingeisoma namba Na angeendelea kuuza Na kutumia ngada??
Huu upinzani ni hovyo kabisa!!
Fact!!
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Acha ushabiki, Wema alikuwa kazini alilipwa kwa kila alipo panda kufanya kampeni sasa chama unataka kimfanyie nini
 
Katika kutimiza majukumu ya kitaifa hutakiwi kuangalia nyuma ya kuwa nani alifanya nini wakati gani na wapi, ukifanya hivyo utaishia kushindwa kutimiza majukumu yako, maana kila mtu akishajua ya kuwa alifanikisha jambo fulani atatumia nafasi hiyo kufanya mambo ambayo ni kinyume na miiko ya taifa
 
Kwahiyo wewe unaona kuikampenia ccm ni justification ya kula au kuuza ngada??? Na una maanisha ni afadhari angefanikisha Lowasa aingie madarakani kwasababu asingeisoma namba Na angeendelea kuuza Na kutumia ngada??
Huu upinzani ni hovyo kabisa!!
Mkuu hapa umeongea ukweli,muovu ni muovu haijalishi ni CCM au upinzani tunataka tujenge Taifa linalofuata sheria
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Kuwa tofauti kisiasa siyo usaliti mkuu..kila MTU anawajibu na haki ya kuwa upende wowote. Maisha yaache yaende tu...ccm ni chama cha siasa na siyo dola
 
Mbona wabongo mnakua na akili finyu namna hii? Hivi mlitaka serikali imuache kisa alipigia kampeni CCM? Sasa ndio mjue serikali ya sasa ndio serikali ya kweli, usitegemee kubebwa kisa umeipigia kampeni. Huu ni utawala wa sheria sio kama enzi zile.
 
ni vizuri wanashikana wenyewe kwa wenyewe sasa hapo sisi wa nje ndio tupate fundisho na tujue kule ndani kukoje rejea ile kufuru ya pesa ya kuzunguka TZ kwa mbwembwe na gharama kubwa kuvunja sheria za gharama za uchaguzi ile jeuri ilitoka wapi taratibu Mungu anaonyesha asante sana Makonda
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Naamini ukisoma tena utaona ulivyo andika upuuzi, Kushiriki kwake kampeni ndo aje aangamize jamii na madawa ya kulevya afu aachwe tu? no wonder watu wanao tuhumiwa ufisadi ndo Chadema wanawachukua na kuwa wagombea urais. Nyumbu wa mwisho kabisa wewe.
 
mkuu wanasheria wanaogopa kukamatwa hata kwenda central hawataki.umesahau mkwara wa siku ya sheria
Hahaaaa mkuu umenichekesha, kwahiyo saizi MTU akifanya kosa ajue hata pata wakili
 
Mleta mada alimaanisha kushindwa kufuata sheria kwa mtu ambaye aliwasaidia kwenye kampeni, je kwa wapinzani au wasiyo wana ccm?.
Taratibu na sheria ni lazima zifuatwe wakati wote. Kuruhusu watu kufanya wanavyotaka wao kutaleta shida huko mbeleni.
 
Ipo siku tutakuja kusema tatizo la nguvu za kiume chanzo ni ccm,maana imekuwa kana kwamba endapo chama kingine kikiingia madarakani ndiyo hakutakuwa na tatizo lolote.
Sio ipo siku kwan we unadhani nguvu za kiume zina kufaje mawazo kunyimwa uhuru wa kuongea maisha yako kama ya samaki ukiongea tu maji mdomoni kutokua na hela kwa kuvunjiwa kibanda chako kilichokua kinakupa jeuri baa tu tayari ulijari umekwisha
 
Hakuna mwanaccm aliyeko ccm akawa msafi Hakuna... Wauza unga wao.. Majangili wao.. Majambazi wao.. Wadhurumaji wao hao ccm.. Usione mtu anakipambania chama cha mapinduzi ukadhani ana mapenzi mema na ccm lah hasha, bali ccm ni kichaka cha waovu.. Waovu wote wako ccm bila kujali nyadhifa zao
 
Itakapofika 2020 wema na wasanii wote watasahau haya wanayofanyiwa sasa watapewa pesa na kuvalishwa manguo ya rangi ya majani .

Kuzunguka nchi nzima kuwahubiria masikini kuwa watapelekwa kwenye nchi ya maziwa na asali na wakishatumika watatupwa jalala kama kondomu iliyotumika
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Unatumiwa vibaya na wema
 
Kamanda hapa umechanganya mambo.

Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
 
hii post sijaielewa mantiki yake ina maana wema angekuwa upinzani ni ruksa kula ngada au kuuza?

mnaudhoofisha upinzani kwa post kama hizi kama mhalifu ana haki ya kushughukiwa chama hakifichi maovu ya mtu.
 
Chadema kwa ulaghai... Sasa CCM inahusikaje na maisha binafsi ya wanachama wake... Vichwa vyenu vinatumika kufugia nywele tu.. Ni Ujuha uliopitiliza.. Chama gani kinajihusisha na maisha binafsi ya mwanachama.. Hiyo Chadema tu, haikumuwekea wakili, Mbowe katika kesi yake na NHC.. Mbowe alitafuta wakili mwenyewe...

Chadema ulaghai ndio nyumba yao.. Je WEMA angekua mwanachama wa Chadema, Chama kingemuwekea wakili, je unajua hatari ya mtu akikutwa na HATIA.. Athari kwa Chama, bahaluli wewe
 
Umenikumbusha james hadley chase no orchids for miss Blandish
 
Back
Top Bottom