No orchid for Ms. Wema Sepetu

No orchid for Ms. Wema Sepetu

mpaka sasa hakuna aliyemtuhumu wema ndio maana kaitwa kuhojiwa ili ukweli upatikane pia alikuwa na haki ya kwenda na mwanasheria wake na ndio maana mpaka sasa yupo uraiani
Vipi media stunt anasafishikaje ikiwa ni innocent?
vipi wewe ukiwekwa ndani akapitishwa kwenye media ukaambiwa una tuhuma za kubaka?
 
mpaka sasa hakuna aliyemtuhumu wema ndio maana kaitwa kuhojiwa ili ukweli upatikane pia alikuwa na haki ya kwenda na mwanasheria wake na ndio maana mpaka sasa yupo uraiani
pia mkuu.unadhani wale wahusika kabisa wakubwa hawakupewa majina yao? mbona hata mmoja hatujamuona akidhalilishwa pale kwenye media?
 
Hahaha naona wanalalamika ooh kakamata wadogo kaacha wakubwa



Makonda size yake watumiaji na wasambazaji wadogo iyo list ya mapapa ni size ya waziri wa mambo ya ndani
Makonda kaza kabisa

Tumeipenda wenyewe chaguo letu wenyewe wacha waisome namba eee
Haka ka song ukiwasikilizisha kule central naamini watatoa chozi mpaka damu
 
Kwanini mnapenda kupotosha mada makusudi? Mnafikiri hiki mnachokifanya ni kwa hasara isiyowahusu? Bila shaka hata Wema alipokuwa akisikia watu wakipiga kelele dhidi ya kusiginwa kwa katiba na utawala wa sheria, alikuwa akiwa kebehi!
nashukuru mkuu umenielewa! kama ni mtihani ningekupa kibanda/msonge (A) Big up
 
Pamoja na mazoea ya Red carpet& Vip treatment ni vizuri binadamu tukajua kuwa hujafa hujaumbika iko siku waweza kuwa down to earth. tena iko siku ulio wategemea watakubeba ukijua wako nyuma yako ukigeuka hutawaona.

Nakumbuka huyu Wema akishiriki kampeni ya 'mama sema na mwanao' akifanikisha ushindi mubashara wa chama Lumumba,leo hii hata haki yake ya kuwa na mwanasheria akihojiwa haijapewa uzito na nduguze wa Lumumba. wamemchukulia kama sio mtuhumiwa bali mkosaji aliyehukumiwa.

Tuliotaka mabadiliko hatuna cha kupoteza baada ya utawala uleule kubaki kwakuwa tuko salama rohoni.
tulishanawa mikono,pole kwa wale walioshiriki kutusaliti sasa wanalipa na riba za usaliti wao.

Lumumba ni ileile Jana,leo na hata milele is not in touch with poor people,(bei za vyakula mtaani)haijari utawala wa sheria(Zanzibar election) Fundisho huwezi kuvuna nanasi kwenye miba.
Mbona slaa alijitolea kujenga cdm kwa hali na mali lakini yule makengeza akamfukuza uanachama kisa fisadi edo?
 
Halafu walimkopa

Ile kitu huwa inakopwa!!! Nimegundua wachangiaji wengine wameshindwa kutofautisha kati ya wapigia kampeni na watangaza biashara kupitia kampeni. Wanufaisha chama na wanufaishwa na chama.

Na washawasha!
 
Mbona slaa alijitolea kujenga cdm kwa hali na mali lakini yule makengeza akamfukuza uanachama kisa fisadi edo?
Mada ya Wema hao wengine wamekujaje? ndio maana mnafeli mitihani na maisha.
 
Unaongea kwa kutetea uovu au,,ko haogopwe kisa alikuwa campner ,,,non sense
umejiunga leo na post ya kwanza ni hapa?! naona umependa mada.itifaki ya humu unasoma mada na maoni ya wengine wote ndio unatoa povu lako.sawa imbicile?
 
poor argument,, unataka apendelewe kwa kuwa ni mwanaccm?? think logically
 
poor argument,, unataka apendelewe kwa kuwa ni mwanaccm?? think logically
walewale team kukurupuka! unajidhalilisha bure!soma maoni ya liyopo kwenye mada kabla hujafanya mediocre conclusion
 
Kwahiyo wewe unaona kuikampenia ccm ni justification ya kula au kuuza ngada??? Na una maanisha ni afadhari angefanikisha Lowasa aingie madarakani kwasababu asingeisoma namba Na angeendelea kuuza Na kutumia ngada??
Huu upinzani ni hovyo kabisa!!
Kwahiyo hao wasanii wakati wanawafanyia kampeni mlikuwa hamjui kuwa ni wala unga/wauza unga??
 
Back
Top Bottom