No internet Connection, Kwanini wakati Data ipo active?

No internet Connection, Kwanini wakati Data ipo active?

Fuata ushauri wa juu kwanza Voda wap ama voda web ikiwa imesetiwa kama Apn inaweza sababisha hilo tatizo.

Unatakiwa kwenye apn uweke internet
Mkuu hili tatizo limeibuka tu from nowhere. simu ilikua sawa kabisa kabla.

siku ya 4 leo halikai sawa.

Nimefuata kila aina ya ushauri humu kuanzia setting za APN, zima simu na kuwasha, n.k ila bado shida iko pale pale
Screenshot_20250824-060143.jpg
 
Nunua bando.

Mitandao ya simu wanazingua sometimes kama ulikuwa na bando kubwa na ikabaki chini ya 1GB hukata internet access.
 
Hakuna ufundi wowote utafanya hapo wahuni wakichezea network ndio madhara yanatokea kwa baadhi ya simu na kwa muda fulani kuna watu nawatafuta huko Tanzania siwapati ila simu zao zipo on nawapata kwa kuwapigia walio karibu yao nao wanashangaa utafanya chochote hapo hakuna ubovu kipindi mpaka uchaguzi upite ndio net itarudi kidogo na kuwa stable kwa wote.
 
Shida hapo kiongozi ni infinix.

Tafuta mtu mwenye simu tofauti na yako uweke hizo settings zako uone itasomaje.
 
Back
Top Bottom