Msaada wa kiufundi kwenye simu yangu samsung galax note 10+

Ntikwite

Member
May 13, 2017
93
52
Habari za wakati huu wana JF, wakubwa zangu shikamoni,
Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja iliyonileta hapa, wiki moja imeisha nmenunua hii simu SAMSUNG GALAX NOTE 10+ lakini imekuwa na changamoto mtandao wake upo chini sanaa

Mfano
-Sehemu yenye mtandao wa kawaida yenyewe laini zinasoma emejency call

- Inaweza ikapandisha data na ikasoma H+ lakin ukiingia google unaambiwa no internet connection wakati mb zinakuwepo za kutosha

-Laini zinaweza zikasoma some times na nikipigiwa eti simu haipatikan japo muda mwingine inakuwa ipo vizuri hasa nikiwa sehem yanye mtandao mzuri

NAOMBENI MSAADA NIFANYAJE ILI IWEZE KUWA NA UWEZO MKUBWA WA MTANDAO MAANA NAIPENDA HII SIMU, asanteni na karibuni kwa ushauri
 
Hiyo simu umeinunua wakati uliopo sasa je manufacturing ni wapi?
By then utakuwa unaujuzi zaidi nikupe malekezo namna ya kufungua baadhi ya codes and on top from that sii hitaji mtu anayejifunza wala simu za wizi but the main person at a right time! 🧐
 
Iyo simu umeinunua wakati uliopo sasa je manufacturing ni wapi?
By then utakuwa unaujuzi zaidi nikupe malekezo namna ya kufungua baadhi ya codes and on top from that sii hitaji mtu anayejifunza wala simu za wizi but the main person at a right time!
Naomba nisaidie mkuu
 
Kama ulinunua Kwa haya maduka
Ya walalahoi kariakoo umeisha
Mjomba....
 
Thanks for you by then, And about that attach main confidential property of the phone... so we can fresh start all of those processes in a mean time...
Naomba nichek kwa namba hii 0628995639 maana kuna muda nashindwa kuingia humu kwa sababu ya mtandao wa simu yangu
 
Back
Top Bottom